Hilo la Dr Slaa limeshapita na sitambui alichoongea, lakini kama TCRA watakaa kimya juu ya Star Tv kwa kile kipande, watasababisha ugumu kwenye kutekeleza adhabu yake maana wananchi ndio wanaangalia mnachofanya.
Nafurahia maana hayo ni maandishi tu lakini hata mioyo yao inatamani mabadiliko, kama ilivyo mwaka huu, sare ni kijani, kadi ni kijani lakini kura zote UKAWA. Hakuna kijana anayeipenda CCM, tukutane October CCM kikiwa ni chama cha upinzani.
Kaleteni campaign manager wa Obama, mweke hapo mbele ya watanzania, ongeza na goli mkono, kadi zinazoandikwa baada ya zoezi kuisha, jumlisha na vitisho vyote mnavyofahamu, mwisho wa siku Lowassa atashinda kwa asilimia 64.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.