Recent content by jeffcr7_

  1. J

    JamiiForums Tanzania Kijana anaomba ushauri kwenye hii changamoto yake

    HAPANA. Ungetoa ushauri ingependeza sana
  2. J

    JamiiForums Tanzania Kijana anaomba ushauri kwenye hii changamoto yake

    Habari wana JFs, Nina rafiki angu wa miaka mingi ambae tumekua karibu kama ndugu ameniomba ushauri kama mtu wake wa karibu, lakini nimepata mtihani kidogo katika kumpa majibu kutokana na uzito wa jambo lake. Nilimshauri kulileta humu kwa kutotaja majina yake ilimradi tu aone ushauri na busara...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Kijana anaomba ushauri jinsi ya kumbadilisha mama yake mzazi

    Habari wana JFs, Nina rafiki angu wa miaka mingi ambae tumekua karibu kama ndugu ameniomba ushauri kama mtu wake wa karibu, lakini nimepata mtihani kidogo katika kumpa majibu kutokana na uzito wa jambo lake. Nilimshauri kulileta humu kwa kutotaja majina yake ilimradi tu aone ushauri na busara...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Gari gani bora kuanza kuimiliki kati ya hizi nne?

    Yani hapo kukurahisishia mtazamo wangu uko hivi labda ukichekecha unaweza kuja na wazo zuri Crown Vs Subaru Impreza Mitsubish Outlander Vs Harrier
  5. J

    JamiiForums Tanzania Gari gani bora kuanza kuimiliki kati ya hizi nne?

    Nisaidie hapo kwenye ubomu nifahamu ni kwenye kitu gani kwa kila gari ili tufanye comparison vizuri. Na mfano wa gari ipi ya umeme kutoka China ni bora tofauti na izo
  6. J

    JamiiForums Tanzania Gari gani bora kuanza kuimiliki kati ya hizi nne?

    Shukrani maelezo niliyokua nataka ni kama haya sema hujagusia upande durability na spare parts ipi ina changamoto sana na ya kukwepa kwa mtu anayeanza kumiliki ndiga
  7. J

    JamiiForums Tanzania Gari gani bora kuanza kuimiliki kati ya hizi nne?

    Habari ya asubuhi ndugu zangu. Nahitaji kununua gari yangu ya kwanza lakini napata wakati mgumu kwenye kufanya uchaguzi. Kwa wabobezi wa mambo ya magari ni ipi tolea zuri kumiliki kati ya gari hizi kwa kuangalia uimara na upatikanaji rahisi wa spareparts. 1. Crown Athlete 2. Mitsubish...
Back
Top Bottom