Recent content by Jeff ppt

  1. J

    JamiiForums Tanzania Serikali: Shule binafsi, marufuku kukaririsha darasa au kufukuza Mwanafunzi kwa kutofikia wastani wa shule

    Siamini jamani kwa Serikali inayojinadi kutoa elimu bure kutoa tamko kama hili . . . ! Kuna haja gani ya kugharamia mitihani ya upimaji? tafadhali Ndalichako na wenzako - tunawaheshimu sana kama wataalamu wa elimu na mmepewa dhamana ya kujenga na kuimarisha elimu. Kwa nini mnaburuzwa na matakwa...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Mfungwa aliyesamehewa na Magufuli arudishwa jela miaka 15

    Sijaelewa hapo jamani; MAHAKAMA YA MWANZO na MIAKA 15!
  3. J

    JamiiForums Tanzania Prof. Lipumba awavua uanachama wabunge 8 wa viti maalum na Madiwani Wawili

    Kazi kweli kweli!
  4. J

    JamiiForums Tanzania Kairuki: Ubungo itapata watumishi wapya 397

    What about 2016/17 and 2017/18 salary increment?
  5. J

    JamiiForums Tanzania Kairuki: Ubungo itapata watumishi wapya 397

    Vipi kuhusu nyongeza ya watumishi wa umma ya 2016/17 na 2017/18? Au ndo basi tena zimechinjiwa baharini?
  6. J

    JamiiForums Tanzania William Ngeleja arejesha fedha za mgao wa Escrow kiasi cha Tsh Milioni 40.4

    Chonde chonde TRA, mpigieni hesabu ya riba.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Haki za Binadamu Barani Ulaya yamhukumu kifo mtoto wa miezi 8

    No, no, no no no no no; tena big no! Let we pray for this child na tumwachie Mungu, yeye ana makusudi yake.
  8. J

    JamiiForums Tanzania Spika wa Bunge Job Ndugai amemwamuru Mbunge wa Ukonga kutoka nje ya Bunge

    No sweat. hata Baba wa taifa miaka 53 nyuma aliwahi kuburuzwa na wakoloni hadi kushtakiwa, lakini hatimani "FREEDOM IS COMMING TOMORROW"
  9. J

    JamiiForums Tanzania DAR: Polisi yakusanya zaidi ya milioni 600 ndani ya siku 8

    Hii inaonyesha jinsi jamii inavyokosa elimu ya uraia na usalama barabarani. Msemo wa "KUTOJUA SHERIA SIO UTETEZI" umepitwa na wakati. Mimi ninajiaminisha kuwa kati ya hayo makosa ya ndani ya siku 8, zaidi ya asilimia 60 ni kwa ajili ya watu hawajui wanachokifanya ni kosa. Serikali hili ni jukumu...
Back
Top Bottom