Recent content by jeez boy

  1. J

    Godbless Lema ahudhuria mazishi ya Mbwa wa Nassari

    ninafikiria sana kuhusiana na hichi ulichoandika hapa na kuona ni jinsi gani ulivyo mweupe kichwani. kutoka sehemu nasari alipovamiwa mpaka mjini nauli ni sh 500. je ulitaka ampe mwananchi yupi? jaribu kufikiria mambo makubwa na yenyetija kwa jamii na sio mambo ambayo ni aibu kwa mtu mzima kama...
  2. J

    Kitambulisho cha taifa cha Levini Peter Tluway kimeokotwa

    nitafanya hivyo ndugu yangu. asante kwa ushauri.
  3. J

    Kitambulisho cha taifa cha Levini Peter Tluway kimeokotwa

    kweli ndugu yangu.nashukuru kwa ushauri ulionipa, ila mm ni mtu safi sina tatizo na mtu kabisa.
  4. J

    Kitambulisho cha taifa cha Levini Peter Tluway kimeokotwa

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kimeokotwa kitambulisho cha taifa maeneo ya KNCU MOSHI MJINI, JIRANI NA PUB ALBERTO. Kwa yeyote anayemfahamu au mwenye taarifa ya muhusika awasiliane na mimi. Jina lililopo kwenye kitambulisho ni LEVINI PETER TLUWAY, JINSIA, MWANAUME
  5. J

    Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

    nashukuru pia kwa kuwawekea hii video ili waweze kuona je hao nao wamefika au hapafikiki! ila sio watu wote wanaweza kukabiliana na hali ya hewa iliyopo hapa. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. J

    Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

    Jitahidi kuufungua huu uzi kuanzia mwanzo utapata maelezo ya kutosha. asante
  7. J

    Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

    haya yalikua maandalizi ya uwanja wakuzea mpira,juu kabisa ya mlima. mkiangalia hizi picha kwa umakini mtaona ndege ikiwa juu, hiyo ndege ni ya Ethiopian airlines, haionekani vizuri sana kutokana na mwanga wa jua. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. J

    Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

    pamoja data Sent using Jamii Forums mobile app
  9. J

    Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

    pia nitawawekea hapa na picha za ndege ya Ethiopian airlines niliyofanikiwa kuipiga ikiwa inakatiza hili eneo ili kuondoa ubishi wa ndege kua haziwezi kukatiza hili eneo Sent using Jamii Forums mobile app
  10. J

    Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

    hahahaha hahaha, na itakua ya garama kubwa sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. J

    Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

    hapo nipo kama mita moja ndani ya shimo Sent using Jamii Forums mobile app
  12. J

    Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

    NILIAHIDI NITAKAPOKWENDA TENA NITAWALETEA PICHA NIKIWA ENEO LA SHIMO KAMA MTOA MADA ALIVYOULIZA, nafikiri sasa ubishi utakua umeishia hapa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. J

    Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

    pia waweza kuja inbox tukapeana mawasiliano kwani wapo pia ambao wamejitokeza na wanahitaji kwenda. so inawezekana tukafanya jambo zuri zaidi na kwa upana zaidi.asante
  14. J

    Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

    meney9 karibu sana Kilimanjaro. ila ningependa kukujulisha kua july nafasi itakua haba sana kwangu mkuu. ningeomba kama mtajiandaa pole pole mpaka mwezi wa 10 tunaweza kufanya jambo zuri zaidi ndugu yangu. samahani sana kwa hilo ndugu yangu. nakuahidi mtakapokua tayari mnijulishe ili niweze...
Back
Top Bottom