Recent content by Jeep rubicon

  1. J

    Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

    😂😂😂 Mshindi huyu hapa mkuu holy holm. Au wewe hujasikia misiba mkuu😂
  2. J

    Wanawake wenye makalio makubwa hawana heshima

    Daah mkuu umeongea as if makalio ni kitu cha thamani zaid ya Oxygen. Kwamba ukiwa nayo ni okay kuwa rude? Huyo mdada ni very rude and ignorant. Eti makalio yanatosha!Sasa kama makalio yanatosha mbona anateseka kwenye nyumba ya kupanga tena cheap ya maji kutoka 3 times a week tena ya kukaa wengi...
  3. J

    Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

    Sijui jins yakuelezea zaid ili uelewe mkuu.. Hiyo sio Villa ya kawaida,ni mansion. Kwa mtu yeyote anayejenga mara kwa mara akiona hiyo picha ni rahisi tu kukadiria gharama Yote kwa yote mtoa mada ataamua mwenyewe kuamin kuwa atajenga kwa 40M, 70M , 150 M, 250M au 400 M. Mi namtakia tu kila...
  4. J

    Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

    Atakayofanya mwenyewe ni machache sana mkuu. Na kinachoumiza ni materials
  5. J

    Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

    Mkuu hiyo ni mansion. Bila hata ya kujua vipimo najua Haiwezi kuwa na udogo wa kujengwa kwa cost chini ya 250M. Akilazimisha gharama zishushe atajenga ila atakua amejenga kitu kingine. Najua ninachoongea mkuu sikurupuki. Why not 150M simply because hiyo ni mansion,sio nyumba ya kawaida.Hilo ni...
  6. J

    Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

    Muache adanganywe aishie kati libaki pagala. Namwambia 250M inaisha anakataa.
  7. J

    Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

    Nimeelewa vizuri kuwa ni one storey ila labda uchakachue ila ukiitende haki iwe na hadhi kama.kwa hiyo picha hasa kwenye finishing inafika amin mkuu. Hapo kuezeka tu ukichukua bati/vigae quality kama.za ALAF na mbao uchukue zile za dawa kweli sio zile feki za bugurun hiyo roofing tu peke.yake...
  8. J

    Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

    70M labda nyumba ya kawaida yenye finishing ya kawaida. Mfuko wa cement sasa hv kuna sehemu mpaka 16k mfuko mmoja.
  9. J

    Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

    250M itaisha hapo mkuu. finishing ndo itakayokula hela. Kila la heri mkuu
  10. J

    Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

    Kujikwaa😂. Kuugua😂 Watu wanaugua na kujikwaa kila siku.
  11. J

    Mwanafunzi aliyejiteka mwenyewe ili apate milioni 3.5 akutwa gest akiponda raha

    Ukute kuna kabinti kamemwambia "usiponipa 3M mim na wewe basi"☹️
Back
Top Bottom