Recent content by Jeb

  1. J

    Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

    Kuliangalia jamabo la ushoga kwa macho mapana ni kwanza kulichambua kwa udani. Makosa yanayo hakisiwa na sheria zetu na hatimaye kupata adhabu kisheria(za duniani) ni Makosa yake yanayo dhulu binadamu wenzetu na mazingira yetu. Hayo yanaunganisha wizi, kuua, kutesa, uongo n.k. Sasa ukiangalia...
  2. J

    Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

    Tatizo la ushoga kwetu Africa ni kwamba watu wanaliangalia kwa jicho la Yule ni mdhambi, mimi ni mtakatifu. Hili jambo linahitaji umakini na hekima. Kusema kuwa shoga auwawe kweli ni kukosa haki za msingi za ubinadamu. Ushoga kama ni dhambi, basi ni dhambi kama ilivyo kuiba, kuua, udikteita na...
Back
Top Bottom