Nashukuru Tatizo langu limepatiwa Ufumbuzi baada ya Kupiga Simu Huduma kwa wateja huko makao makuu. Asante Sana. Ila ushauri wangu kwenu Kuna haja ya kuwa na Generator la dharura katika ofisi za Tanesco Wilaya ili umeme ukikatika Huduma ziwe zinaendelea kutolewA. Asante Sana.
Habar wakuu. Ni mteja wa Tanesco . Nimepata tatizo la kuunguliwa na Mita yangu Nashukuru Tanesco wameshughulikia haraka na nikafungiwa Mita Nyingine wiki iliyoisha. Sasa Ule Umeme Wa mwanzo umeisha, nikaenda Tanesco Leo siku ya tatu kuomba wanisajilie Mita wananiambia hakuna umeme. Ni kweli...
Tanesco miezi mi nne Sasa imekamilika bila kuletewa umeme. Aiseee inaleta shida Sana.
Nawaomba Tanesco Ungeni Juhudi za Mweshimwa Rais Kwa vitendo ili kuendana na Kasi ya kuleta Maendeleo nchini.
Yaani kiukweli sio sawa kabisa tunaomba umeme...
Tanesco Tafadhalini jaman naomba huduma ya umeme nyumbani kwangu. Kama ni pesa nimekwisha kulipa yote unakwenda ofis zao kuuliza unaambiwa nguzo shida, Mara zitakuja hivi karibuni
Ni nimwezi wa nne 4 bila taarifa kamili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.