Ndugu zangu waislamu nimeamua kurudi huku tena ili kuweza kufunga mwaka vizur binafsi natafuta mke wa kiislamu asizidi miaka 35 mengine tutajadiliana
Mimi ni kijana wa kiislamu ninaependa uislamu wangu na ninafanya kazi taasisi binafsi umri 33 KARIBU WOTE
Nami nichangie kwanza kiukweli jitahidi uoe ukiwa na kitu yaani kiuchumi uwe vizur ndoa haitaji story telling inahitaji vitendo pia haya maneno ni ya kujifariji kuwa ndoa sio pesa sasa huyo mke utamtunzaje na huna pesa kitakachotokea ukioa na huna pesa mke utashindwa kumtunza atachoka sana tena...
Duuu una moyo mgumu yaani hujawaza tu kuwa utapoteza vingi yaani kila siku unamuwaza mtu mmoja tu labda niseme haya maneno yako ni mazuri ila ukiwa maskini unaweza ukafirisika kabisa yaani pesa zote unazotafuta zitaenda kwa mtu asiekupenda nafikir hakikisha unaweka kikomo tongoza ndani ya miezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.