Recent content by Jaynas

  1. J

    Rais Museveni ahutubia taifa kuhusu Corona - COVID-19

    Huku idadi ya wagonjwa waliopona Corona kufikia28 baada ya wagonjwa wengine 6 kupona na kuruhusiwa kutoka hospitali leo hii. Rais Museveni wa Uganda amesema kuwa“Nawapongeza madaktari na wahudumu wote wa afya Uganda kwa kazi nzuri, mmeweza kupambana na corona huku wenyewe mkiwa salama pia...
  2. J

    Dereva Mtanzania akutwa na maambukizi ya COVID 19 kwenye mpaka wa Tanzania na Uganda

    Dereva huyo wa lorry kutoka Tanzania ambaye vipimo vilionesha kuwa ni positive kwa Corona atarudishwa Tanzania kwa ajili ya matibabu. Aliyasema hayo Bi. Robinah Nabbanja, Waziri wa Afya mwenye dhamana dhidi ya Corona. Naye Dr Edward Muwanga, Afisa Afya wa wilaya Kyotera alisema kuwa sampuli za...
  3. J

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Nenda snake park Arusha wapo nyoka wa kila aina hadi ambao hawapatikani Tanzania lakini ukirudi home jiandae kulala jicho moja wazi huku taa imewaka Sent using Jamii Forums mobile app
  4. J

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    m nsaidie kuchek S0546.0202.2011
  5. J

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    mmh ila hapo kwenye uref wake m nadhan mkuu ume2pga kamba sm 220 had 320 mmh kama mita 2 had 3 ila m namjua kama nyoka mpole ambaye hapend kelele wala kuchukizwa huwa n nadra sana kuuma na anauma pale anapozibiwa njia yake(kwan huwa wanapita njia moja kila siku) au utakapompigia kelele au...
  6. J

    Binti aweka kiazi ukeni kuzuia mimba

    hahaha full burdan
  7. J

    TB Joshua akamatwa!

    mi nilivyoona umeandika kakamatwa nkajua kakamatwa na polisi sa kuja kusoma habar tofauti kabisa kama coca na fanta jarbu kuwa unalink na habar na kchwa cha habar n hayo tu mkuu
Back
Top Bottom