kwanza LOWASSA akija hapo huo Mdahalo mtaufanyia Uwanja wa Taifa... hilo Nyomi mtali accomodate vipi nyie!!!??.... Tulieni Raisi amalize kampeni zake Nyie.. mbona POVU jingi!!???.... huhuhuhuhuhuhuhu...Nyie si mmemaliza... ngoja akawatie Adabu Mbeya sasa.... VIVA LOWASSA
na kwakuwa lengo lenu sio mdahalo ni kumuumbua Raisi wetu ndio maana kadhihilisha ana akili kuliko ninyi wenye akili na maslahi ya kichama na sio taifa.... Malizia kampeni baba tar25 tukusindikize kwa kishindo Kuapishwa TAIFA.. KIKWETE ALIKIMBIA MIDAHAKO YOTEEE NA ALISHINDA.... POLENI MAGAMBA...
huu uzi wa kipuuzi... Leo ccm ndo imekuwa ya kulalamika kuhusu watu kulipwa!!!!!!!!... Msijitilishe huruma apa.. mwaka huu lazima msepe... hatuwaonei huruma ng'ooo.. tar 25 Oct Ouuuut.... Olesendeka leo Anajitilisha huruma..... njoni mtulipe na nyie mbona si ma-Escrow....huhuhuhuhuhuhu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.