Magufuli kwanza hata yeye alikiri kwa kinywa chake kuwa alijaribu kuchukua fomu bahati mbaya ndo hivyo zali la mentali ila hana hobby ya uongoz lowassa nadhana toka enzi a nyerere
Mbona hamsemi wanaohama kwenu hala mwenye clip yoyote watu wakisomba ukawa watume ila zipo nyingi za mafusiemu halamnasenma eti toeni ushuzi wenu hapaaa
Ushuziiiiiiiii tyuuuuuu sasa mi nipo huko aliko kuwa nipe namba zako nikutumie video alizo kuwa akisomba watu na magarii halafu eti unaona ni miujiza nyooooo
Kuna oloto ktk bongo za mafisiem Lowassa umeshasikia kaanguka jukwaani?? kama kiweteeee ame poteza hata cku moja kufanya kampeni? Mi ningekuwa Mungu ninge fanya ajabu kwa mafisiem halafu nimegundua kituuu wote wanao lilia fisiem mama,baba,au ndugu yoyote ni wenye viti wa mtaa wengine wazururaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.