Nina-Samsung Galaxy S6 g920F baada ya ku upgrade OS kutoka 6.1 hadi 7.0, kwakutumia Odin3, network Inasumbua inaniambi NOT REGISTERED ON NETWORK, simu hazitoki, yaani hata salio siweziuliza.
Nikiingia kwenye download mode cha kwanza kuniletea ni model number ambayo ni SM G920F, mstari unaofwata inaandika samsung offically and rom ipo customize
Wadau tafadhali,
Ninahitaji msaada simu yangu imeganda hapo then nimejaribu sana kudownload firmware zake nyingi kwenye site ya samsung ila bado sijapata ambayo inaingiliana na hii.
Naomba msaada nifanyeje ili niweze jua file sahihi la hii simu ili niweze download?
Msaada je kunauwezekano wa ku install adobe master master collection kwenye Linux especially kwenye ubuntu or kuna link yoyote ile naweza pata setup za Adobe for Linux Os.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.