Vibaya mno dunia haitoamini kwa watakacho kishuhudia
safari muajemi kachafukwa marekan kama anajiamini yeye ndio JAMBAZI la dunia kwa ujiita super power
ajarib tu kushambulia iran huo ndo utakuwa mwazo wa kufutwa kwa taifa la kigaid na la kishetani srael kwenye uso wa dunia na ndio mwanzo...
Tena huyo gaidi na mtekaji
marekan
Tena iran anasubili tu huyo gaidi na mtekaji marekan ajichanganye ndio atakapojua iran sio Venezuela,libya wala iraq safari hii atapigwa kama ngoma😃😃
Dw,bbc,cnn,sky news,France 24,fox news ni vyombo vya habari vya ovyo vya magharibi kuwahi kutokea kwenye hii sayari ya dunia vyenye lengo la kusambaza propaganda za uongo kwa lengo la kuendeleza ukoloni mambo leo na kuwanufaisha kisisa mabeberu na vibaraka wao kutimiza lengo lao la kuendelea...
Pia mkumbushe kuwa hakuna taifa linaitwa Israel !bali kuna Palestine
hiyo Israel iliyopo sasa imeptikana kwa kuwaua wapalestina na kuchukua maeneo yao kibabe toka mwaka 1948 hiyo Israel ni wavamizi wa ardhi ya wapalestina ila Palestine ikijitahidi kurudisha ardhi yao wanaitwa magaidi.
Naunga mkono hoja!tatizo marekani na nchi za magharibi walifaulu ku brainwash dunia kuwa kila kitu bora na kizuri vinatoka kwao kitu ambacho si kweli kuna mataifa mengi yameizipita hizo nchi kiuchumi,technology,kielimimu n.k mfano nchi kama urusi,china n.k zipo mbele sana sema hazina kiki kama...
Subiri uone dollar haina maisha marefu itakufa na ndo mwanzo wa dunia kuwa huru na kupata amani ya kudumu ufadhili wa magaidi utaisha.ya jayo yanafurahisha[emoji3]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.