Police wenyewe hata hawaaminiki tena ndo haohao wanatumika kuteka wakiulizwa wasema sio hao. Wanatumika kupekua nyumba za watu bila utaratibu wanasema sio wao. Wanauwa watu kwa risasi hadharani kama akwalina wanasema sio wao. Kiujumla wanotakiwa kusimamia sheris ndio wanaozvunja
Acha porojo mkuu maana hujui maana ya upinzani na lengo kuu co kuchafuana bali ni kurekebishana pale kwenye mapungufu. Mawazo yako ni finyu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Msukuma Bado ni mtoto sana katka siasa ndo mana Mara nyingi huropokaga tu kihisia pasipo judgement. Akikua atajitambua tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wanaobeza watumishi kutoongezewa mishahara wao wanalipwa mishahara mikubwa na bonus za kutosha ila hawaangalii waliochini zaidi ya kuzidi kuwadidimiza
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.