Usijali kuhusu hela Mwenyezi Mungu atakusaidia utazipata! Lakini hata hivyo sio aghali sana,, kwani kinacho fanya bei iwe kubwa ni urembo wenyekuchukua mbao nyingi na ukubwa wa sehemu! Kama unahitaji simple bei inakuwa afadhali!
Ahsante, karibu sana!
Shukrani Masanja!
Ndiyo ninayo workshop mkuu!
Ndiyo, hapo juu kwenye picha, mstari wa chini kutoka kushoto picha ya pili na ya tatu, ni kazi ya mikono yangu! Pia nataraji kutupia picha zingine za kazi ninayoifanya sasa!
Swala la ethics ni changamoto, ila najitahidi kupambana nalo kwa kiasi...
Mkuu Ahsante!
Kikweli sio rahisi kuona jongoo akitokezea nyuma kwani mbao ina wamba kabisa ukutani na kunakuwa hakuna space yeyote kuruhusuu hivyo viumbe!
Tunachokikosa hapa nchini ni finishing tu mkuu! Tukiwa na mitambo na ujuzi wakuzipa rasilimali zetu ubora, tunaweza hata kuuza nje final product kuliko kuiagiza iliofanyiwa finishing nje!
Ndugu wadau, kwakutumia aina yeyote ya mbao, nafanya finishing ya ndani kutumia mbao zilizotengenezwa kwa mashine maalum ya kazi hiyo!
Bei hutokana na aina ya mbao mteja atakayo itaka itumike kwenye nyumba yake, na idadi ya mbao zitakazotumika kwa aina ya urembo!
Nichek 068 281 8787
Karibuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.