Sasa naskia ile ripoti ya CAG ambayo inasemekana ndio ilipelekea kusimamishwa kwa Mkurugenzi huyu imetoka, cha kushangaza ni kwamba hizo ishu hazijaongelewa hata kidogo na ripoti ni unqualified hivyo ni safi na hata katika kipengele cha manunuzi inaonekana taasisi hii imefuata utaratibu katika...
Hivi kama alikiuka sheria ya manunuzi ya umma si ilipaswa PPRA kua imetoa ripoti yake kuhusu hilo suala? Na ni kipengele kipi hasa amekiuka huyu bwana? Lazima tujiulize maswali ya muhimu sana kabla ya ku conclude... Nachelea kusema kwamba ukisoma taarifa zilizotoka katika magazeti leo inaonesha...
Sioni kama kuna ukweli hapa...pesa kiasi hicho kinatumikaje kwa safari tu? Halafu kwa taratibu za kiserikali Mkurugenzi kama yule alisafiri lazima atoe taarifa kwa Katibu Mkuu wake na aeleze nia na madhumuni ya safari.... Kuhusu mradi wa LNG na mm naungana na huyu mwingine alieuliza kwani suala...
Mi naona haya ni majungu tu...kufanya kazi kwa mazoea ndo kunapelekea kukataa mabadiliko, Serikali inataka kuisuka tpdc iwe kama makampuni mengine ya mafuta duniani eg Statoil, Petrobras n.k na katika kufanya hivyo lazima watu kadhaa wabadilishwe na wengine wapya wawekwe ili kusimamia...
Asante kamanda...umetoa mwanga ila bado fedha ni za umma, TANESCO ambaye ndiye aliekuwa na kiasi kikubwa cha fedha ni shirika la Umma...hivyo kama maamuzi ya mahakama yameamua kua ukokotoaji wa capacity charge urudiwe na kuna dalili kua fedha zile zingelipwa kwa TANESCO basi Umma umeibiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.