ivi kusifu ubora wa kukusanya mapato ni shida?? zito ni mungu au ni usalama aliyepewa kazi ya kumfuatilia kitilya mpaka kujua kwa muda huo kashfA ambayo kitilya kaipata?
unahangaika NDO MAANA yeye akuridhishwa na kampuni iyo kumbuka waziri hasaini mkataba ,waziri mkuu haingii kwenye gorvement negotiating team ..hawa ndo ushauri wao ulisikilizwa... yeye mpaka mwisho alianza kuitilia mashaka iyo kampuni hata membe unalijui vizuri hili swala.... sasa yeye hataki...
unahangaika NDO MAANA yeye akuridhishwa na kampuni iyo kumbuka waziri hasaini mkataba ,waziri mkuu haingii kwenye gorvement negotiating team ..hawa ndo ushauri wao ulisikilizwa... yeye mpaka mwisho alianza kuitilia mashaka iyo kampuni hata membe unalijui vizuri hili swala.... sasa yeye hataki...
pole gongolamboto maana hata nafsi yako inakusuta ata uwe unaonga kiasi gani uwezi onga gharika ya watu kiasi kile wana mahaba tu na lowassa ata ukifumba macho, na masikio uzibe????????????///// jipange umekamilika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.