Recent content by jarson mwakyusa

  1. J

    Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Maji mnaongoza kwa madeni

    wewe nawe huna jipya toa takwimu kabisa
  2. J

    Mh. Rais Pombe Magufuli, tangaza mali zako hadharani

    nendeni sektretariet ya maadili mtakuta kila kitu kuhusu mali zake
  3. J

    Zitto: Watumiaji wangekuwa na moyo wa dhati kama mkusanyaji Kitilya, tungepiga hatua kubwa sana

    ivi kusifu ubora wa kukusanya mapato ni shida?? zito ni mungu au ni usalama aliyepewa kazi ya kumfuatilia kitilya mpaka kujua kwa muda huo kashfA ambayo kitilya kaipata?
  4. J

    Dogo Jembe: Usilete Udini na Dharau, Tanzania Siyo ya Baba'ko!

    naona msipoongea chochote kuhusu mh makamba jr ,jamii forum amna mada poleni sana............ mmeshaambiwa account iliingiliwa sasa mnaataka nini
  5. J

    Sefue: Tanzania kurudishiwa dola za kimarekani milioni 6 kutoka Stanbic Tanzania

    Uyu naye katajwa na katibu mkuu kiongozi ..... Du nashindwa amini
  6. J

    Magufuli kuita CV za ma RC na DC nchi utaiendesha

    unampajepressure makonda wakati ni graduate na pia anaendana na kasi ya magufuli poleni sana mekosa ya kuzungumza
  7. J

    Zitto mbabe wa Bungeni, hakususia hotuba ya Rais

    zito mjanja apelekwi ovyoovyo sio zuzu amna jipya ukawa AAAA TEHHHH
  8. J

    Prof. Mark Mwandosya: Mchakato wa kumpata mgombea urais CCM uligubikwa na utata

    uyo ndo raisi mwenye uswahili mwingi ona anavokimega chama sasaaaaaa kinamfia mikononi mwake
  9. J

    Hawa wenyeviti wa CCM wa Mikoa, Walitakiwa wajiuzulu kwanza NEC ndipo wamfuate Lowassa

    mwambie na nape ajiuzulu uenezi kwanza NDIPO AMFUATE MEMBE
  10. J

    WikiLeaks: Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years

    unahangaika NDO MAANA yeye akuridhishwa na kampuni iyo kumbuka waziri hasaini mkataba ,waziri mkuu haingii kwenye gorvement negotiating team ..hawa ndo ushauri wao ulisikilizwa... yeye mpaka mwisho alianza kuitilia mashaka iyo kampuni hata membe unalijui vizuri hili swala.... sasa yeye hataki...
  11. J

    WikiLeaks: Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years

    unahangaika NDO MAANA yeye akuridhishwa na kampuni iyo kumbuka waziri hasaini mkataba ,waziri mkuu haingii kwenye gorvement negotiating team ..hawa ndo ushauri wao ulisikilizwa... yeye mpaka mwisho alianza kuitilia mashaka iyo kampuni hata membe unalijui vizuri hili swala.... sasa yeye hataki...
  12. J

    Edward Lowassa kuwalipia nauli, malazi, chakula na posho wajumbe wa NEC na MM wa CCM

    zito alishindwa kutaja bungeni kwenye kinga ndo ataje hadharani ?? tunamjua alivo ndumila kuwili
  13. J

    Edward Lowassa kuwalipia nauli, malazi, chakula na posho wajumbe wa NEC na MM wa CCM

    pole gongolamboto maana hata nafsi yako inakusuta ata uwe unaonga kiasi gani uwezi onga gharika ya watu kiasi kile wana mahaba tu na lowassa ata ukifumba macho, na masikio uzibe????????????///// jipange umekamilika
Back
Top Bottom