kiukweli mda wangu umefika ss wa kutaka kustick na one guy atakaenipenda nimpende mpaka kufa!sifa awwe anajitambua,smart boy,employed or self employed,hofu ya Mungu ila awe mkristo!nimeshawahi kuwa na mvullana na nikastay naye about a year n above tukaachana!nimekaa mda nafanya mambo yangu ss...
thats true cjawapa nafasi ingawaje huyo mmoja alitaka asimamishe shughuli nzima akiwa kikao cha mwisho akaniomba nimshauri nikwambia it better to proceed with his programme may be GOd ha a goal with his marriadge before me bac allilia akajilaum na mpaka cku ya ndoa yake jion alinipigia cmu ni...
acha fikra chafuu rafiki tupo kupata ushari na maoni kama mezoea kupopst ujinga na kukuruppuka cio wote kaka haya ni maisha na matatizo yapo so soma story nzima ndo uccoment!
ahsante rafiki exactly i will work for ua advice since this time cio cri i need to get ma marrage with only n love one for me!thank nc and gud advice i catch it
Habari wana jf?am ouky but not happy kwa sababu napenda kupendwa na ninajua kupenda lakini nakuwa very dissappointed kila nikitongozwa nampata mme wa mtu au ndo yupo kwenye maandalizi yakuoa na kuniambia kwamba kwanini hakunijua mapema?ujue najickia vbaya kuwa naliliwa na mvulana kwa kujilaumu...
aisee hongeren kwa kucheck afya nina da pole xana kwa dda yangi hataki kabixa!kkubwa ucmtenge ila ucwe na uhucano nae kwa sababu ww bado kijana mdogo na maisha bado wko kuwa nae karibu na company ya kawaida.ila very xcory kwa kutahifisha penz lako la ukwweli omba utampta wa ukwel mwngne na yeye...
mm nafikiri kwanza jiulize wewe unampernda huyo mdada?pili kwa lego lipi?kama ni ndoa haina haja ya kutaka uzini naye ss hv mda ukuifika mtafanya tuu coz apo hata uchumba bado,but ukiwa una mvumilia unatakiwa uwe naye karibu like weekend na cku nyingine pia ucmwache iddle mwisho atakuzoea then...
ahsanten wana jf napenda coz napata faraja on how to help ma csy!ucombee uishi na mtu awe na stress unaweza wewe ukakosa raha!mwenye maswli aulize anipe njia ya kuongea nae then nawajibu!alafu wanaouliza kuwa nakimbelembele hapana jamani wengine tueumbwa kuwasaidia watu so endelea kutoa view...
nina dada yangu mmoja hajapima lakini anahisi amehathirika, namshauri akapime anaogopa ameachana na mpenzi wake kutokana na kumuacha peke yake mda mrefu kama hana mpenzi hivyo akahisi mpenzi wake alikuwa na mtu mwingine kwa sababu walikuwa mikoa tofauti.soon akampata mkaka mwingine ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.