Recent content by jaqson

  1. jaqson

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

    Hata huyo Tz one huwa inatusaidia nini? Div & rule. Mwenye tik anaonekana babkubwa na unambiwa kwenye mtihani usimeache mtu akuigie atakufelisha ndio maana hata mtaani ni hivyo hivyo mtu akiwa na channels anabana kwa wengine, bure kabisa! Nimesoma na washikaji wengi ila average ndio wana maisha...
  2. jaqson

    JamiiForums Tanzania VIDEO: David Kafulila, Ezekiel Kamwaga, Maggid Mjengwa na Said Miraji wachambua mambo makubwa ya nchi yakiwemo ya H.Polepole

    Drama za kisiasa, shape shifting. 🤸🤸🤸
  3. jaqson

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

    "Shule imetudanganya kutuaminisha anaye pata div 1 ana akili zaidi" - jaqson
  4. jaqson

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

    Kuwekeza 100 millions kisa div 1 huu sio uwekezaji ni scam. Hiyo fedha (20mil) ungewekeza kwenye elimu ya nyumbani ukaanzisha mradi wa kilimo cha green house au ufugaji na akawa sehemu ya mradi angalau italeta maana.
  5. jaqson

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

    Haya mambo bure kabisa, soma hata dunia nzima ila kama hutofuata kanuni za asili mf. Kingdom ya wealth usipo fuata kanuni zake utalialia tu mshahara ukichelewa. Nina uncle yangu yoko lushoto form 2 anafedha kunizidi anafanya kilimo cha karafuu, mdalasini na iliki anavuna mzigo wakutosha na...
  6. jaqson

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

    Return ni kitu cha msingi zaidi. Kama unge save hiyo 4M utumie tu 1m nyingine humnunulie shama kila mwaka heka mbili na humpandie miti ya mbao kwa miaka 10. Utakua umemwandalia mtaji wa shilingi ngapi? Tukumbuke ukiona serikali inakomalia kitu ujue kuna upigaji mahali tu. Hakuna mtu...
  7. jaqson

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

    Lugha inahitaji mazoezi ndugu. Na kingine ni mipango binafsi unayoweka kwa mwanao, unataka ajifunze lugha ya kingereza nini umemwandalia juu yakutumia hiyo lugha kwa maisha ya baadae mf. Labda unataka abobee kwenye secta ya utalii au sector ya uongoz n.k Ni vyema tujue tunawafundisha nini kwa...
  8. jaqson

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

    Lugha huitaji kuanzia nyumbani, vp ulishawahi kumfunza lugha naku ongea naye mara kwa mara na hapa tutizame lugha tu sio taaluma nyingine. Tutoe dhana ya lugha ya kingereza kua ni bora zaidi ya nyingine au kushindwa kwake kuongea kingereza ndio uwezo wake uone ni mdogo. Shule ya kweli huanza...
  9. jaqson

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

    Asante 🙏 mzugwa formula inaendelea kuleta matunda Divide 💔 and Rule 👑 😥
  10. jaqson

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

    Connection ndio kila kitu, alfu kusema tafuta hela sio kama ni sahihi waweza kuivutia fedha naona hii ndio focus nzuri zaidi. Kutafuta kitu ni frequency ya utumwa 🔒 ni vyema kufuata canuni za fedha kama flow of currency.
  11. jaqson

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke ambaye ana allergies na nyama ili nikinunua niwe nakula mwenyewe

    Udongo wa nini tena? Si sanamu sasa, labda robot la Elon musk
  12. jaqson

    JamiiForums Tanzania Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

    Kumbe ndio maana nyimbo ya Diamond na Jamaa wa souti soul alisema forehead ni ya kenya🤔
  13. jaqson

    JamiiForums Tanzania Kila mtu ana siku zake Tatu anazozipenda katika wiki

    🤝
Back
Top Bottom