Recent content by JAPHETtumpa

  1. J

    Lowassa anamfanya Mwenyekiti wa CCM atapetape na Kuwayawaya

    vipi wale waliomtangazo lowasa fisad halafuwa katuambia sio fisadi hao tuwaiteje manyumbu basi
  2. J

    Lowassa anamfanya Mwenyekiti wa CCM atapetape na Kuwayawaya

    hivi kuna wapumbavu kama mbowe na lowasa na wafuasi wao
  3. J

    Bora wapiga dili wenye huruma kuliko wazalendo makatili

    hivi ulimboka alitekwa lini, hivi mauaji ya soeto yalifanyika lini hivi mwangosi aliuwa lini mvungi na wengine.tutoleeni ujinga hapa
  4. J

    Matibabu ya Lissu Tsh. milioni 10 kwa siku, CHADEMA yaomba msaada Ujerumani, EU

    sidhani kama kuna sheria inayokataza ila ina tia shaka hasa swala linapokuwa linashughulikiwa na wapiga deal halafu ukizingatia upepo wa kifedha unaovuma kwa sasa
  5. J

    Ulishindwa kuendeleza Chato miaka 20 uje uweze kuendeleza Tanzania miaka 5?

    mbona hamueleweki taa za kuongoza punda zipo wapi vile?
  6. J

    Ulishindwa kuendeleza Chato miaka 20 uje uweze kuendeleza Tanzania miaka 5?

    ulitaka ziwekwe kilimanjaro ndio ufurahi
  7. J

    Kwanini wana CCM wako bize kuzusha kuhusu Lissu?

    chadema wapo bize kufanyeje
  8. J

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    of course umoja wa kiisadif
  9. J

    Sakata la makinikia: Mpaka sasa ACACIA wameshajibu na kutolea ufafanuzi tuhuma zote

    tunajua tabia ya kutetemekea matajiri ni ya wapi haitupi shida, kuna sehemu fulani wapo tayari kumsalimia mtoto mdogo et kisa pesa unataka tuwe wote hivyo no
  10. J

    CHADEMA: Kipaumbele cha Rais Magufuli ni kununua ndege? Hali ya Uchumi inazorota!

    peoples ilikuwa zamani sasa hivi wanaowatetea
  11. J

    Mheshimiwa Lipumba wewe ni jabari timua wote.

    siku hizi hizo slogani za kijani haziilipi sijui huyu ni ccm haina maana ukweli mafisadi yametapakaa vyama vyote yanasubiri yapewe utawala.yapo ccm yapo chadema yapo kote.
  12. J

    Mbowe Freeman kiongozi wa upinzani Tanzania asieyumbishwa wala kuhongwa ili aue chama

    atayumbaje wakati biashara ya chama inalipa , fedha za ruzuku zinatumikaje kwa maslahi ya chama, miaka ishirini na ushe chama hakina ofisi inayofanana nailiyowahi kuwa hadhi yake ,sasa tembelea nyumba zao ndio utajua fisadi ni fisadi tu hata kama yupo chama cha upinzani. sio kwamba wasijenge...
Back
Top Bottom