Kuhusu kufuta hukumu nyingne mbadala mm nahc haitowezkana. . na kuhusu kurundkana jela sheria inasema hata baada ya mtuhumiwa kuhkumiwa adhabu ya kifo mpka Rais wa jamhuri azihirishe na adhabu hiyo na baadae atie saini kwenye utkelzaji wake.. Shida inakuja wapi maraisi wetu hawki kusaini...
Kutokana na sheria za mirathi za kila aina tukianza na ile ya India ya mwaka 1885 na sheria za kimila pamoja na sheria za Kiislaam hazimpi mtoto wa nje ya ndoa uhalali wa kurithi mali.
Maoni yangu ni kwamba kwa kua watoto hawana makosa na wanaachwa katika mazingira magumu hauoni kwmba wakat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.