Unakuta kijana kampa binti ujauzito(mimba) halafu anamkataa, binti anavumilia mpaka anajifungua na anaendelea kulea huyo mtoto, Mungu si binadamu binti anapata bwana wakumuoa akishaolewa unaona kile kidume cha kwanza kinaanza kumvizia tena huyo dada napata kigugumizi WHY!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.