IDADI KUBWA YA WANAWAKE INAZIDI KUONGEZEKA WENYE UMRI WA MIAKA 35 HADI 55 KUONEKANA WANA MATUMBO MAKUBWA AU KITAMBI.SABABU YAKE SIYO MIMBA BALI NIMLUNDIKANO WA MAFUTA KATIKA TUMBO INAYOTOKANA NA STYLE YA MAISHA WANAYOISHI.MFANOWANAWAKE WENGI WANAPENDA KULA WALI KILA SIKU,KULA UGALI WA SEMBE,KULA...
Urembo wa asili unapendwa sana duniani kwani upendezesha ngozi na kukufanya uwe na mvuto.
Kazi ya asali usoni imeongeza matumizi makubwa kwa wanawake katika kutafuta urembo
Chukua asali mbichi kijiko kimoja cha chai kisha paka usoni kaa nayo kwa dakika 15 hadi20 kisha safisha uso wako
ASALI yatajwa kuwa chaguo la kwanza kutibu kikohozi.Utafiti unaonyesha kuwa asilimia 80% ya watumiaji na walaji wa asali huitumia wakiamini inasaidia kujikinga na kutibu baadhi ya maradhi
Unaweza tumia Asali ,ndimu na maji ya uvuguvugu asubuhi sana kabla hujala kitu
chemsha maji yaache yapoe,chukua asali vijiko 2 vikubwa vya chakula weka ndimu kijiko 1 cha chai kisha changanya na maji yako yale ya vuguvugu uilyochemsha kisha kunywa.
Faida zake
utapungua uzito
utaupamwili joto...
ASALI mbichi inafaa zaidi kwa tiba.
Ina fanya kazi ya kuponya maradhi mengi mno,inaongeza sana damu.
Ili tumbo lifanye kazi yake vizuri jizoeze kula asali,kijiko kimoja kila asubuhi kabla hujala chochote.Pia.
Kipande cha mkate,maziwa na asdali ni mlo kamili.
HABARI
Bidhaa unayohitaji iko sokoni.Tunayo asali mbichi ya nyuki wakubwa inayotokana na miti ya mihale na miguu.
Unaweza kununua kwa sasa kama utalipa kwa airtel money shs10,000 kwa kg 1 kwa bei ya jumla.
Je nini unatakiwa kufanya? ni kuelezea wapi ulipo pamoja na anuani kamili nasi...
Mwaka 2018 uwe wa mafanikio kwako ukupe neema ya kula asali katika familia yako
Hata kama hutoweza kula asali kila siku basi walau kila wiki upate matumizi ya asali mara 2 ili uweze kuongeza kinga yako ya mwili mara 3 zaidi ikiwa utatumia asali mara kwa mara .Kutumia asali si kazingumu bali ni...
Unawezaje kutibu madhara ya jua kwenye uso wako?
Mpenzi msomaji wa JamiiForums,Unangoja nini hebu chukua hatua yakufanya yafuatayo;
chukua asali MBICHI kijiko kikubwa cha chakula,changanya na maziwa ya unga kijiko 1kikubwa cha chakula ,weka na juisi ya limau kijiko1kikubwa pamoja na mafuta ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.