Kama umekiri ulifanya kosa na kutubu,, jua hata mungu amepokea tubu yako na ndio maana ulipona na kuwa mzima wa afya, zidi kuomba mungu kuna siku utakutana na rafiki yako na kuomba msamaha mbele yake pia atakuelewa na kukusamehe.. ama hakika mungu ni mwema mbele yako
hakika ushauli huu nimeupenda na ewe uliotoa ushauri eeeehhhhh mwenyezi mungu akubariki na abariki fikra zako daima..... sikia dada unaetaka ushauri,, jaribu kumuomba mungu ainisulu ndoa yako na pia jaribu kuchukua hatua kwa kuchunguza tatizo la ndoa yako na chanzo ili uweze kupambana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.