Kuna mtu kasema eti PEOPLE'S POWER haina nguvu mbele ya silaha. Sijui anamaanisha nini..,lakini ni wazi anafanya upotoshaji wa wazi na wa makusudi. Sayansi ya siasa na historia vinathibitisha kwamba NGUVU YA UMMA siku zote imeonesha kuwa matokeo chanya katika jamii.
Soma pia Kauli ya people...
Sina maslahi na TEC..,ila kusema benki ya TEC walichukua mgao katika kashfa ya ESCROW/ IPTL , ni jaribio la kutaka kuwaficha kwa makusudi wahusika wakuu wa upigaji wenyewe.
Zitto Kabwe ndiye alikuwa wa kwanza kusema bungeni wakati huo kwamba benki ya Mkombozi,inayomilikiwa na kanisa Katoliki...
Shida kubwa ya ccm inaanzia katika katiba ya chama chake...
Mwenyekiti wa ccm amekuwa kama Mungu-mtu...,atakaloamu ndilo linalokuwa. Mwanachama yeyote hata akiwa kiongozi wa wananchi kama mbunge anatakiwa kuwajibika kwa chama, na siyo kwa wananchi.....na kwa wanavyofanya mambo yao,wabubge aa...
Mkuu, uteuzi wa CDF JWTZ kigezo kikuu huwa ni uchawa,siyo lazima utaalam wake katika medani
Wale wenye sifa za kuwa wakuu wa majeshi kwa mantiki ya kuijua kazi yao,kuwa na msimamo na kujitambua wanakuwa overlooked kwa makusudi kwa hofu ya uwezwkano wa kukataa kuburuzwa na wanasiasa ..
Nasikia huo huo uchawa kwa Sa100 ndo uliomponza.....
Walijua atazidisha kwa ku-mobilise wabunge kichawa zaidi kama alivyofanya wakati wa DP..
Huko katika Kijani yao hakuko sawa, kuna tug of war within...
Nimekujibu kiongozi.....
Nimemjibu pia Mtibeli...
Suala la wizi, rushwa, na tamaa ni sehemu ya hulka ya kibinadamu ya asili kabisa.
Kwa hiyo katika jamii yoyote lazima kutakuwepo na watu wa aina hiyo.
Sasa kuifanya jamii fulani ili iondokane au watu wake wasiwe katika muelekeo wa kupenda...
Sijui unamaanisha nini...
Huyo Mtibeli anajua hayuko sawa pia..
Ila wewe kutoelwa kwamba Mtibeli anakupotosha....tena anakupotosha kwa hoja dhaifu, nitashindwa namna ya kukusaidia baada ya hapa...
Kwa mfano... Mtibeli anaeleza katika mada yake .kwamba anahisi japo anashindwa...
Tumuunge mkono yeye na CCM yake kwa kushindwa kuitoa Tanzania katika umaskini na mdororo wa kijamii na kisiasa tuliomo kwa sasa?
Tumuunge mkono ili aendelee kuteua watendaji kwa kufuata NEPOTISM na kuacha MERITOCRACY?
Uko sahihi sahihi sana.
Kwa namna Mtibeli alivyoandika inaonesha kabisa kabisa ukweli anaujua lakini anafanyavkusudi kupindisha hoja.
Ukiweka katika lugha rahisi alichokisema maana yake ni kwwmba tukihoji CCM kwa nini tumekwama, kwa nini tuko maskini hadi leo,..kisha CCM ijibu kwamba imeshindwa...
Kuna kipi kigumu kisichoeleweka katika yaliyoandikwa na Mtibeli ndugu....
Sikiliza nikuambie,kama hoja yale ilikuwa ni kusema kwamba rushwa na upigaji ni tatizo letu wote kama Watanzania.....na ndilo lilosababisha mkwamo tulionao haliwezi kukubalika.
Tumefika hapa kiuchumi kutokana na uongozi...
Labda hujaelewa hojaelewa hoja ya Mtibeli...,namna alivyoiweka yeye na kama vile hayatokani na suala la UONGOZI.
Na hoja yako imelala huko huko..
Nimesema Tanzania kwa namna tunavyofanya mambo yetu inaonesha wazi tuna tatizo la uongozi.
Nimesema ungozi bora unajukumu la kubadili au kujenga...
Kiufupi,mwenye ID Robert Hariel Mtibeli kasema ni propaganda kusema kwamba matatizo tuliyonayo Tanzania hayatokani na CCM bali yanatokana na malezi na ukoloni mambo leo.
Kusema kwake huko ni jaribio la wazi la kuitengenezea CCM kivuli cha kujificha kwa kukosa kuwajibika kwa wananchi...
Kazi ya jeshi ni kulinda raia wake.
Liitanda adui raia dhidi ya adui wa nje.
Litalinda raia dhidi ya watu weye silaha walioko ndani wanaoamua kuvunja taratibu na kukiuka haki za raia bila kujali wajivishe sare za polisi au mavazi mengine.
Kulinda raia dhidi ya watu wenye silaha endapo polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.