Hata kama anayetakiwa kujenga ni kampuni,lazima ajenge eneo lilofanyiwa planning na serikali.
Hiyo Manzese, Tandale na Keko,chanzo chake ni kutopima maeneo.
Hata kama mjenzi ni mtu binafsi,endapo ujenzi utafanwa katika eneo lililopimwa,ujenzi hauwezi kuwa holela.
Tatizo lilianzia pale wahusika...
Hoja nzuri...
Hata hivyo serikali ilitakiwa itenge fedha kwanza kuzuia kuzaliwa Manzese,Tandale na Keko mpya katika kila mikoa kwa kuchukua hatua ya kupima ardhi na kugawa viwanja kiutartibu.
Kila wilaya kuna ofisi ya ardhi na watendaji na vifaa vyao,lakini kila katika kila wilaya Tanzania kuna...
Ndivyo ilivyo...,waziri yake ni hayo ya kisera tu...,suala la kuchunguza matukio ya kihalifu ni ya polisi..,na kufikisha watuhumiwa mahakamni ni suala la mwendesha mshtaka wa serikali.
Tatizo letu wanazania ni kulewa madaraka na taasisi kutofanya kazi kwa mujibu wa sheria. Mathalan,kwa swala...
Kwa mujibu wa Katiba na sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri wa Mambo ya Ndani hana mamlaka ya kikatiba wala ya kisheria kuamuru polisi kumkamata mtu na kumweka rumande.
Nafasi ya Waziri: Waziri wa Mambo ya Ndani ni mtendaji wa kisiasa na mkuu wa kisiasa wa wizara hiyo, lakini...
Nakubaliana nawe 100%
wanasiasa wa bongo siku zote hulazimisha wapewe hisa ili watumbukize cash yao wanayopiga serikalini...
Mradi wa magari ya Volkswagen umeenda Rwanda baada ya wanasiasa bongo kutaka kutimiziwa mambo yao...
Sishangai Dangote kukimbilia Mombasa
Suala la kama Tanzania iendelee na adhabu ya kifo au isitishwe ni suala la kuulizwa Watanzania wenyewe kwa mtindo wa maoni....na pengine ihusishwa moja kwa moja na ujio wa katiba mpya.
Kuwndelea au kusitishwa kwa hiyo adhabu hakutakiwi kutokane na mtazamo wa marais kwa kukataa kusaini hati ya...
Hata hao ccm hawajawahi kuwa na msimamo mmoja.
Kwa .mfano tuliona wajumbe wengi wa mkutano mkuu ccm 2015 walipinga Lowassa kukatwa jina na kumlaumu mwenyekiti wao kaja na jina la mgombea mfukoni.
Tunaweza kuswma wanachama wa ccm wanafanana na watanzania wengine kwa jambo moja kubwa...,,WAOGA...
Uko sahihi 100%
Hotuba ya nchimbi kuhusu kuhusu katiba mpya ni moja ya sanaa ya kitoto ya ccm iliyozoeleka.
Inafahamika wazi ccm hawawezi kuitaka katiba mpya.
Hawawezi kuanzisha mjadala wa katiba mpya.
Kwa mazingira yaliyopo Tanzania kwa sasa,katiba mpya itakayojali misingi ya usawa itaifanya...
Kukosekana kwa mfumo unaojenga TAASISI IMARA huzaa hilo tatizo la watu badhirifu wakiwa katika ofisi za umma.
TAASISI DHAIFU hufanya watendaji wezi na fisadi serikalini kutokuwa na hofu ya ufisadi wao wakijua taasisi husika hazitachukua hatua kuwaadhibu. Kimsingi, katika serikali ambayo mfumo...
Uko sahihi 100%
siyo mkurugenzi tu....,ni kwa watendaji karibu wote wa serikali hawana ulazima ww kutumia magari hayo...yanayotumia mafuta mengi,yanayohitaji kubadili vipuri ghali kila baada ya muda mfupi, na yanayonunuliwa kwa bei ghali...
Namshangaa Bulaya kuligusia hilo kijuujuu wakati hilo...
Hata America anafanya biashara na Urusi...kubwa tu...lakini hawataki wewe ufanye biashara na Urusi.
Na hiyo ni tafsiri ya ubabe.
Shida ni kwamba wewe nchi nyonge ukifanya biashara na Urusi kisha wababe wakakuwekea vikwazo,utaweza kumudu?
China akifanya biashara na Russia hafanywi lolote kwa...
Najua umeandika ili kuchokonoa hisia za watu.....japo unajua watu watasema nini kuhusu Ridhiwani..
i have to exercise restraint and reserve what I was about to say regarding this Msoga boy otherwise my blessed and clean mouth might've been coerced to unleash insults of unspeakable proportions
Aaaaah.....Mkuu Yoda, ukisema kuna mnyukano kati ya ccm na Marekani unatengeneza picha kwamba wako level moja kiubavu...kwamba wote ni giants.
Kwa kuzingatia ukweli kwamba serikali ya Tanzania bado ni matonya wa kutembeza bakuli,tunajua muongoza serikali ccm hawezi thubutu kukemea rasmi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.