Recent content by Jamiitrailer

  1. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha Marais wa Tanzania, Kutosaini Death Warrants, Je Kuna Haja ya Kuendelea Kuwepo Adhabu Hii ya Kifo cha Kikatili kwa Kunyonga?

    Suala la kama Tanzania iendelee na adhabu ya kifo au isitishwe ni suala la kuulizwa Watanzania wenyewe kwa mtindo wa maoni....na pengine ihusishwa moja kwa moja na ujio wa katiba mpya. Kuwndelea au kusitishwa kwa hiyo adhabu hakutakiwi kutokane na mtazamo wa marais kwa kukataa kusaini hati ya...
  2. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Watanzania haawana msimamo mmoja, ila CCM ina msimamo mmoja,kwanini CCM wote wana mtizamo mmoja? na kwa nini Watanzania hawana msimamo mmoja?

    Hata hao ccm hawajawahi kuwa na msimamo mmoja. Kwa .mfano tuliona wajumbe wengi wa mkutano mkuu ccm 2015 walipinga Lowassa kukatwa jina na kumlaumu mwenyekiti wao kaja na jina la mgombea mfukoni. Tunaweza kuswma wanachama wa ccm wanafanana na watanzania wengine kwa jambo moja kubwa...,,WAOGA...
  3. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Nchimbi: anatuona sisi ni majuha au hamnazo? Chonde chonde Wapigania haki msitegwe na hadaa zake. CCM haina nia njema

    Uko sahihi 100% Hotuba ya nchimbi kuhusu kuhusu katiba mpya ni moja ya sanaa ya kitoto ya ccm iliyozoeleka. Inafahamika wazi ccm hawawezi kuitaka katiba mpya. Hawawezi kuanzisha mjadala wa katiba mpya. Kwa mazingira yaliyopo Tanzania kwa sasa,katiba mpya itakayojali misingi ya usawa itaifanya...
  4. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Je tatizo ni watu au mfumo?

    Kukosekana kwa mfumo unaojenga TAASISI IMARA huzaa hilo tatizo la watu badhirifu wakiwa katika ofisi za umma. TAASISI DHAIFU hufanya watendaji wezi na fisadi serikalini kutokuwa na hofu ya ufisadi wao wakijua taasisi husika hazitachukua hatua kuwaadhibu. Kimsingi, katika serikali ambayo mfumo...
  5. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Ester Bulaya: Mtu siyo mkurugenzi, unatumia V8 la nini? Ni hujuma ya kiuchumi

    Uko sahihi 100% siyo mkurugenzi tu....,ni kwa watendaji karibu wote wa serikali hawana ulazima ww kutumia magari hayo...yanayotumia mafuta mengi,yanayohitaji kubadili vipuri ghali kila baada ya muda mfupi, na yanayonunuliwa kwa bei ghali... Namshangaa Bulaya kuligusia hilo kijuujuu wakati hilo...
  6. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Hizo bidhaa au huduma ambazo America anafanya boashara na Russia , ukifanya wewe unawekewa vikwazo. Kama hujui hilo, itakuwa unaishi mwezini
  7. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Hata America anafanya biashara na Urusi...kubwa tu...lakini hawataki wewe ufanye biashara na Urusi. Na hiyo ni tafsiri ya ubabe. Shida ni kwamba wewe nchi nyonge ukifanya biashara na Urusi kisha wababe wakakuwekea vikwazo,utaweza kumudu? China akifanya biashara na Russia hafanywi lolote kwa...
  8. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani Kikwete yuko live, anaongea kama Jakaya Kikwete. Like father like son, atatufaa sana in future baada ya zamu yetu!

    Najua umeandika ili kuchokonoa hisia za watu.....japo unajua watu watasema nini kuhusu Ridhiwani.. i have to exercise restraint and reserve what I was about to say regarding this Msoga boy otherwise my blessed and clean mouth might've been coerced to unleash insults of unspeakable proportions
  9. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Wazalendo tunasimama upande gani katika mnyukano kati ya CCM na Marekani?

    Aaaaah.....Mkuu Yoda, ukisema kuna mnyukano kati ya ccm na Marekani unatengeneza picha kwamba wako level moja kiubavu...kwamba wote ni giants. Kwa kuzingatia ukweli kwamba serikali ya Tanzania bado ni matonya wa kutembeza bakuli,tunajua muongoza serikali ccm hawezi thubutu kukemea rasmi...
  10. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere adai yeye ni mkubwa kuliko Chadema, Je amerukwa na akili?

    Mkuu, Huyo Yericko asikufikirishe kabisa, . Mtu yeyote anayejiona ni wa muhimu kuliko yeyote mahali fulani wakati ukweli ni kinyume chake,..huugua ugonjwa kisaikolojia..Bipolar disorder. Yericko,kwa matamshi na maandiiko yake na vitendo vyake, ameonesha dalili za kuugua kiwango cha juu cha huo...
  11. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Done your proper research?! Kingereza cha ugoko cha Bashite

    Unamaanisha nini ukisema hiyo lugha siyo yetu? English na Kiswahili ni lugha rasmi za Tanzania ambazo kila mtu anatakiwa kuzijua kwa ufasaha. Msemo wa ..' hiyo lugha siyo yetu' , hautakiwi kuwa kichaka cha kuficha mapungufu yaliyosababisha watu wengi kutojua kwa ufasaha hiyo lugha. Mapungufu...
  12. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Je WaTz Tuwe Macho na Makini Sana na Baadhi ya Majirani Zetu Wanatupenda Kweli Au?!, "I Fear The Greeks, Especially When They Bring Gifts!"

    Ni kweli jirani yetu Kasongo na familia yake bado wana hasira na ile abracadabra waliyochezewa na kufanya mzee wa Ankole abadili mawazo kupitisha wese lake upande ule. Nilichokiona, Kasongo anataka political leverage... aonekane kama bingwa wa kuhamsisha suala la kuongezea thamani rasilimali...
  13. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Anayepinga nguvu ya umma ndiyo kila kitu kwa wananchi wanaotaka kubadili uongozi dhalimu ni mpotoshaji

    Kuna mtu kasema eti PEOPLE'S POWER haina nguvu mbele ya silaha. Sijui anamaanisha nini..,lakini ni wazi anafanya upotoshaji wa wazi na wa makusudi. Sayansi ya siasa na historia vinathibitisha kwamba NGUVU YA UMMA siku zote imeonesha kuwa matokeo chanya katika jamii. Soma pia Kauli ya people...
  14. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Uvumilivu wa IPTL Walipa Katika Mzozo wa Dola Milioni 168 na Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong

    Sina maslahi na TEC..,ila kusema benki ya TEC walichukua mgao katika kashfa ya ESCROW/ IPTL , ni jaribio la kutaka kuwaficha kwa makusudi wahusika wakuu wa upigaji wenyewe. Zitto Kabwe ndiye alikuwa wa kwanza kusema bungeni wakati huo kwamba benki ya Mkombozi,inayomilikiwa na kanisa Katoliki...
  15. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Makinda alimkatalia Mnyika, Leo hii Jaji Mkuu analalamika

    Shida kubwa ya ccm inaanzia katika katiba ya chama chake... Mwenyekiti wa ccm amekuwa kama Mungu-mtu...,atakaloamu ndilo linalokuwa. Mwanachama yeyote hata akiwa kiongozi wa wananchi kama mbunge anatakiwa kuwajibika kwa chama, na siyo kwa wananchi.....na kwa wanavyofanya mambo yao,wabubge aa...
Back
Top Bottom