Recent content by Jamiitrailer

  1. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Wazalendo tunasimama upande gani katika mnyukano kati ya CCM na Marekani?

    Aaaaah.....Mkuu Yoda, ukisema kuna mnyukano kati ya ccm na Marekani unatengeneza picha kwamba wako level moja kiubavu...kwamba wote ni giants. Kwa kuzingatia ukweli kwamba serikali ya Tanzania bado ni matonya wa kutembeza bakuli,tunajua muongoza serikali ccm hawezi thubutu kukemea rasmi...
  2. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere adai yeye ni mkubwa kuliko Chadema, Je amerukwa na akili?

    Mkuu, Huyo Yericko asikufikirishe kabisa, . Mtu yeyote anayejiona ni wa muhimu kuliko yeyote mahali fulani wakati ukweli ni kinyume chake,..huugua ugonjwa kisaikolojia..Bipolar disorder. Yericko,kwa matamshi na maandiiko yake na vitendo vyake, ameonesha dalili za kuugua kiwango cha juu cha huo...
  3. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Done your proper research?! Kingereza cha ugoko cha Bashite

    Unamaanisha nini ukisema hiyo lugha siyo yetu? English na Kiswahili ni lugha rasmi za Tanzania ambazo kila mtu anatakiwa kuzijua kwa ufasaha. Msemo wa ..' hiyo lugha siyo yetu' , hautakiwi kuwa kichaka cha kuficha mapungufu yaliyosababisha watu wengi kutojua kwa ufasaha hiyo lugha. Mapungufu...
  4. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Je WaTz Tuwe Macho na Makini Sana na Baadhi ya Majirani Zetu Wanatupenda Kweli Au?!, "I Fear The Greeks, Especially When They Bring Gifts!"

    Ni kweli jirani yetu Kasongo na familia yake bado wana hasira na ile abracadabra waliyochezewa na kufanya mzee wa Ankole abadili mawazo kupitisha wese lake upande ule. Nilichokiona, Kasongo anataka political leverage... aonekane kama bingwa wa kuhamsisha suala la kuongezea thamani rasilimali...
  5. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Anayepinga nguvu ya umma ndiyo kila kitu kwa wananchi wanaotaka kubadili uongozi dhalimu ni mpotoshaji

    Kuna mtu kasema eti PEOPLE'S POWER haina nguvu mbele ya silaha. Sijui anamaanisha nini..,lakini ni wazi anafanya upotoshaji wa wazi na wa makusudi. Sayansi ya siasa na historia vinathibitisha kwamba NGUVU YA UMMA siku zote imeonesha kuwa matokeo chanya katika jamii. Soma pia Kauli ya people...
  6. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Uvumilivu wa IPTL Walipa Katika Mzozo wa Dola Milioni 168 na Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong

    Sina maslahi na TEC..,ila kusema benki ya TEC walichukua mgao katika kashfa ya ESCROW/ IPTL , ni jaribio la kutaka kuwaficha kwa makusudi wahusika wakuu wa upigaji wenyewe. Zitto Kabwe ndiye alikuwa wa kwanza kusema bungeni wakati huo kwamba benki ya Mkombozi,inayomilikiwa na kanisa Katoliki...
  7. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Makinda alimkatalia Mnyika, Leo hii Jaji Mkuu analalamika

    Shida kubwa ya ccm inaanzia katika katiba ya chama chake... Mwenyekiti wa ccm amekuwa kama Mungu-mtu...,atakaloamu ndilo linalokuwa. Mwanachama yeyote hata akiwa kiongozi wa wananchi kama mbunge anatakiwa kuwajibika kwa chama, na siyo kwa wananchi.....na kwa wanavyofanya mambo yao,wabubge aa...
  8. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Nyayo za Lucy hizi hapa zimejaa mbigili

    Ana DNA zote za tabia za kikahaba.....,kwa mantiki ya uwezo wa kufanya chochote alimradi mambo yake yaende....
  9. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Huyu ndo Mkuu wa Majeshi ambaye watu wanaweza kujivunia kuwa naye

    Mkuu, uteuzi wa CDF JWTZ kigezo kikuu huwa ni uchawa,siyo lazima utaalam wake katika medani Wale wenye sifa za kuwa wakuu wa majeshi kwa mantiki ya kuijua kazi yao,kuwa na msimamo na kujitambua wanakuwa overlooked kwa makusudi kwa hofu ya uwezwkano wa kukataa kuburuzwa na wanasiasa ..
  10. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Jamani nini kilimpata Tulia kuachia uspika

    Nasikia huo huo uchawa kwa Sa100 ndo uliomponza..... Walijua atazidisha kwa ku-mobilise wabunge kichawa zaidi kama alivyofanya wakati wa DP.. Huko katika Kijani yao hakuko sawa, kuna tug of war within...
  11. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Mwambieni Robert Hariel Mtibeli kusema kwamba malezi mabovu ndiyo chanzo cha matatizo yetu na siyo CCM ni tusi kwa Watanzania

    Nimekujibu kiongozi..... Nimemjibu pia Mtibeli... Suala la wizi, rushwa, na tamaa ni sehemu ya hulka ya kibinadamu ya asili kabisa. Kwa hiyo katika jamii yoyote lazima kutakuwepo na watu wa aina hiyo. Sasa kuifanya jamii fulani ili iondokane au watu wake wasiwe katika muelekeo wa kupenda...
  12. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Mwambieni Robert Hariel Mtibeli kusema kwamba malezi mabovu ndiyo chanzo cha matatizo yetu na siyo CCM ni tusi kwa Watanzania

    Sijui unamaanisha nini... Huyo Mtibeli anajua hayuko sawa pia.. Ila wewe kutoelwa kwamba Mtibeli anakupotosha....tena anakupotosha kwa hoja dhaifu, nitashindwa namna ya kukusaidia baada ya hapa... Kwa mfano... Mtibeli anaeleza katika mada yake .kwamba anahisi japo anashindwa...
  13. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Mwambieni Robert Hariel Mtibeli kusema kwamba malezi mabovu ndiyo chanzo cha matatizo yetu na siyo CCM ni tusi kwa Watanzania

    Tumuunge mkono yeye na CCM yake kwa kushindwa kuitoa Tanzania katika umaskini na mdororo wa kijamii na kisiasa tuliomo kwa sasa? Tumuunge mkono ili aendelee kuteua watendaji kwa kufuata NEPOTISM na kuacha MERITOCRACY?
  14. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Mwambieni Robert Hariel Mtibeli kusema kwamba malezi mabovu ndiyo chanzo cha matatizo yetu na siyo CCM ni tusi kwa Watanzania

    Uko sahihi sahihi sana. Kwa namna Mtibeli alivyoandika inaonesha kabisa kabisa ukweli anaujua lakini anafanyavkusudi kupindisha hoja. Ukiweka katika lugha rahisi alichokisema maana yake ni kwwmba tukihoji CCM kwa nini tumekwama, kwa nini tuko maskini hadi leo,..kisha CCM ijibu kwamba imeshindwa...
Back
Top Bottom