Recent content by Jamiitrailer

  1. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Serikal itenge budget ya trillion 2 na zaidi kwa ajili ya kununua squatter mfano Manzese, Kigogo n.k ili kuziboresha

    Hata kama anayetakiwa kujenga ni kampuni,lazima ajenge eneo lilofanyiwa planning na serikali. Hiyo Manzese, Tandale na Keko,chanzo chake ni kutopima maeneo. Hata kama mjenzi ni mtu binafsi,endapo ujenzi utafanwa katika eneo lililopimwa,ujenzi hauwezi kuwa holela. Tatizo lilianzia pale wahusika...
  2. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Serikal itenge budget ya trillion 2 na zaidi kwa ajili ya kununua squatter mfano Manzese, Kigogo n.k ili kuziboresha

    Hoja nzuri... Hata hivyo serikali ilitakiwa itenge fedha kwanza kuzuia kuzaliwa Manzese,Tandale na Keko mpya katika kila mikoa kwa kuchukua hatua ya kupima ardhi na kugawa viwanja kiutartibu. Kila wilaya kuna ofisi ya ardhi na watendaji na vifaa vyao,lakini kila katika kila wilaya Tanzania kuna...
  3. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi aagiza Dudubaya akamatwe kwa kukaidi Wito wa Serikali

    Yuko sahihi kukataa wito huo kwa vile hauko kisheria. Waziri kalewa madaraka
  4. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi aagiza Dudubaya akamatwe kwa kukaidi Wito wa Serikali

    Ndivyo ilivyo...,waziri yake ni hayo ya kisera tu...,suala la kuchunguza matukio ya kihalifu ni ya polisi..,na kufikisha watuhumiwa mahakamni ni suala la mwendesha mshtaka wa serikali. Tatizo letu wanazania ni kulewa madaraka na taasisi kutofanya kazi kwa mujibu wa sheria. Mathalan,kwa swala...
  5. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi aagiza Dudubaya akamatwe kwa kukaidi Wito wa Serikali

    Kwa mujibu wa Katiba na sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri wa Mambo ya Ndani hana mamlaka ya kikatiba wala ya kisheria kuamuru polisi kumkamata mtu na kumweka rumande. Nafasi ya Waziri: Waziri wa Mambo ya Ndani ni mtendaji wa kisiasa na mkuu wa kisiasa wa wizara hiyo, lakini...
  6. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Ndio hivyo tena, tumeikosa. Dangote

    Nakubaliana nawe 100% wanasiasa wa bongo siku zote hulazimisha wapewe hisa ili watumbukize cash yao wanayopiga serikalini... Mradi wa magari ya Volkswagen umeenda Rwanda baada ya wanasiasa bongo kutaka kutimiziwa mambo yao... Sishangai Dangote kukimbilia Mombasa
  7. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha Marais wa Tanzania, Kutosaini Death Warrants, Je Kuna Haja ya Kuendelea Kuwepo Adhabu Hii ya Kifo cha Kikatili kwa Kunyonga?

    Suala la kama Tanzania iendelee na adhabu ya kifo au isitishwe ni suala la kuulizwa Watanzania wenyewe kwa mtindo wa maoni....na pengine ihusishwa moja kwa moja na ujio wa katiba mpya. Kuwndelea au kusitishwa kwa hiyo adhabu hakutakiwi kutokane na mtazamo wa marais kwa kukataa kusaini hati ya...
  8. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Watanzania haawana msimamo mmoja, ila CCM ina msimamo mmoja,kwanini CCM wote wana mtizamo mmoja? na kwa nini Watanzania hawana msimamo mmoja?

    Hata hao ccm hawajawahi kuwa na msimamo mmoja. Kwa .mfano tuliona wajumbe wengi wa mkutano mkuu ccm 2015 walipinga Lowassa kukatwa jina na kumlaumu mwenyekiti wao kaja na jina la mgombea mfukoni. Tunaweza kuswma wanachama wa ccm wanafanana na watanzania wengine kwa jambo moja kubwa...,,WAOGA...
  9. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Nchimbi: anatuona sisi ni majuha au hamnazo? Chonde chonde Wapigania haki msitegwe na hadaa zake. CCM haina nia njema

    Uko sahihi 100% Hotuba ya nchimbi kuhusu kuhusu katiba mpya ni moja ya sanaa ya kitoto ya ccm iliyozoeleka. Inafahamika wazi ccm hawawezi kuitaka katiba mpya. Hawawezi kuanzisha mjadala wa katiba mpya. Kwa mazingira yaliyopo Tanzania kwa sasa,katiba mpya itakayojali misingi ya usawa itaifanya...
  10. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Je tatizo ni watu au mfumo?

    Kukosekana kwa mfumo unaojenga TAASISI IMARA huzaa hilo tatizo la watu badhirifu wakiwa katika ofisi za umma. TAASISI DHAIFU hufanya watendaji wezi na fisadi serikalini kutokuwa na hofu ya ufisadi wao wakijua taasisi husika hazitachukua hatua kuwaadhibu. Kimsingi, katika serikali ambayo mfumo...
  11. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Ester Bulaya: Mtu siyo mkurugenzi, unatumia V8 la nini? Ni hujuma ya kiuchumi

    Uko sahihi 100% siyo mkurugenzi tu....,ni kwa watendaji karibu wote wa serikali hawana ulazima ww kutumia magari hayo...yanayotumia mafuta mengi,yanayohitaji kubadili vipuri ghali kila baada ya muda mfupi, na yanayonunuliwa kwa bei ghali... Namshangaa Bulaya kuligusia hilo kijuujuu wakati hilo...
  12. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Hizo bidhaa au huduma ambazo America anafanya boashara na Russia , ukifanya wewe unawekewa vikwazo. Kama hujui hilo, itakuwa unaishi mwezini
  13. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Hata America anafanya biashara na Urusi...kubwa tu...lakini hawataki wewe ufanye biashara na Urusi. Na hiyo ni tafsiri ya ubabe. Shida ni kwamba wewe nchi nyonge ukifanya biashara na Urusi kisha wababe wakakuwekea vikwazo,utaweza kumudu? China akifanya biashara na Russia hafanywi lolote kwa...
  14. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani Kikwete yuko live, anaongea kama Jakaya Kikwete. Like father like son, atatufaa sana in future baada ya zamu yetu!

    Najua umeandika ili kuchokonoa hisia za watu.....japo unajua watu watasema nini kuhusu Ridhiwani.. i have to exercise restraint and reserve what I was about to say regarding this Msoga boy otherwise my blessed and clean mouth might've been coerced to unleash insults of unspeakable proportions
  15. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Wazalendo tunasimama upande gani katika mnyukano kati ya CCM na Marekani?

    Aaaaah.....Mkuu Yoda, ukisema kuna mnyukano kati ya ccm na Marekani unatengeneza picha kwamba wako level moja kiubavu...kwamba wote ni giants. Kwa kuzingatia ukweli kwamba serikali ya Tanzania bado ni matonya wa kutembeza bakuli,tunajua muongoza serikali ccm hawezi thubutu kukemea rasmi...
Back
Top Bottom