Suala la kama Tanzania iendelee na adhabu ya kifo au isitishwe ni suala la kuulizwa Watanzania wenyewe kwa mtindo wa maoni....na pengine ihusishwa moja kwa moja na ujio wa katiba mpya.
Kuwndelea au kusitishwa kwa hiyo adhabu hakutakiwi kutokane na mtazamo wa marais kwa kukataa kusaini hati ya...
Hata hao ccm hawajawahi kuwa na msimamo mmoja.
Kwa .mfano tuliona wajumbe wengi wa mkutano mkuu ccm 2015 walipinga Lowassa kukatwa jina na kumlaumu mwenyekiti wao kaja na jina la mgombea mfukoni.
Tunaweza kuswma wanachama wa ccm wanafanana na watanzania wengine kwa jambo moja kubwa...,,WAOGA...
Uko sahihi 100%
Hotuba ya nchimbi kuhusu kuhusu katiba mpya ni moja ya sanaa ya kitoto ya ccm iliyozoeleka.
Inafahamika wazi ccm hawawezi kuitaka katiba mpya.
Hawawezi kuanzisha mjadala wa katiba mpya.
Kwa mazingira yaliyopo Tanzania kwa sasa,katiba mpya itakayojali misingi ya usawa itaifanya...
Kukosekana kwa mfumo unaojenga TAASISI IMARA huzaa hilo tatizo la watu badhirifu wakiwa katika ofisi za umma.
TAASISI DHAIFU hufanya watendaji wezi na fisadi serikalini kutokuwa na hofu ya ufisadi wao wakijua taasisi husika hazitachukua hatua kuwaadhibu. Kimsingi, katika serikali ambayo mfumo...
Uko sahihi 100%
siyo mkurugenzi tu....,ni kwa watendaji karibu wote wa serikali hawana ulazima ww kutumia magari hayo...yanayotumia mafuta mengi,yanayohitaji kubadili vipuri ghali kila baada ya muda mfupi, na yanayonunuliwa kwa bei ghali...
Namshangaa Bulaya kuligusia hilo kijuujuu wakati hilo...
Hata America anafanya biashara na Urusi...kubwa tu...lakini hawataki wewe ufanye biashara na Urusi.
Na hiyo ni tafsiri ya ubabe.
Shida ni kwamba wewe nchi nyonge ukifanya biashara na Urusi kisha wababe wakakuwekea vikwazo,utaweza kumudu?
China akifanya biashara na Russia hafanywi lolote kwa...
Najua umeandika ili kuchokonoa hisia za watu.....japo unajua watu watasema nini kuhusu Ridhiwani..
i have to exercise restraint and reserve what I was about to say regarding this Msoga boy otherwise my blessed and clean mouth might've been coerced to unleash insults of unspeakable proportions
Aaaaah.....Mkuu Yoda, ukisema kuna mnyukano kati ya ccm na Marekani unatengeneza picha kwamba wako level moja kiubavu...kwamba wote ni giants.
Kwa kuzingatia ukweli kwamba serikali ya Tanzania bado ni matonya wa kutembeza bakuli,tunajua muongoza serikali ccm hawezi thubutu kukemea rasmi...
Mkuu,
Huyo Yericko asikufikirishe kabisa, .
Mtu yeyote anayejiona ni wa muhimu kuliko yeyote mahali fulani wakati ukweli ni kinyume chake,..huugua ugonjwa kisaikolojia..Bipolar disorder.
Yericko,kwa matamshi na maandiiko yake na vitendo vyake, ameonesha dalili za kuugua kiwango cha juu cha huo...
Unamaanisha nini ukisema hiyo lugha siyo yetu?
English na Kiswahili ni lugha rasmi za Tanzania ambazo kila mtu anatakiwa kuzijua kwa ufasaha.
Msemo wa ..' hiyo lugha siyo yetu' , hautakiwi kuwa kichaka cha kuficha mapungufu yaliyosababisha watu wengi kutojua kwa ufasaha hiyo lugha.
Mapungufu...
Ni kweli jirani yetu Kasongo na familia yake bado wana hasira na ile abracadabra waliyochezewa na kufanya mzee wa Ankole abadili mawazo kupitisha wese lake upande ule.
Nilichokiona, Kasongo anataka political leverage... aonekane kama bingwa wa kuhamsisha suala la kuongezea thamani rasilimali...
Kuna mtu kasema eti PEOPLE'S POWER haina nguvu mbele ya silaha. Sijui anamaanisha nini..,lakini ni wazi anafanya upotoshaji wa wazi na wa makusudi. Sayansi ya siasa na historia vinathibitisha kwamba NGUVU YA UMMA siku zote imeonesha kuwa matokeo chanya katika jamii.
Soma pia Kauli ya people...
Sina maslahi na TEC..,ila kusema benki ya TEC walichukua mgao katika kashfa ya ESCROW/ IPTL , ni jaribio la kutaka kuwaficha kwa makusudi wahusika wakuu wa upigaji wenyewe.
Zitto Kabwe ndiye alikuwa wa kwanza kusema bungeni wakati huo kwamba benki ya Mkombozi,inayomilikiwa na kanisa Katoliki...
Shida kubwa ya ccm inaanzia katika katiba ya chama chake...
Mwenyekiti wa ccm amekuwa kama Mungu-mtu...,atakaloamu ndilo linalokuwa. Mwanachama yeyote hata akiwa kiongozi wa wananchi kama mbunge anatakiwa kuwajibika kwa chama, na siyo kwa wananchi.....na kwa wanavyofanya mambo yao,wabubge aa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.