Aaaaah.....Mkuu Yoda, ukisema kuna mnyukano kati ya ccm na Marekani unatengeneza picha kwamba wako level moja kiubavu...kwamba wote ni giants.
Kwa kuzingatia ukweli kwamba serikali ya Tanzania bado ni matonya wa kutembeza bakuli,tunajua muongoza serikali ccm hawezi thubutu kukemea rasmi...
Mkuu,
Huyo Yericko asikufikirishe kabisa, .
Mtu yeyote anayejiona ni wa muhimu kuliko yeyote mahali fulani wakati ukweli ni kinyume chake,..huugua ugonjwa kisaikolojia..Bipolar disorder.
Yericko,kwa matamshi na maandiiko yake na vitendo vyake, ameonesha dalili za kuugua kiwango cha juu cha huo...
Unamaanisha nini ukisema hiyo lugha siyo yetu?
English na Kiswahili ni lugha rasmi za Tanzania ambazo kila mtu anatakiwa kuzijua kwa ufasaha.
Msemo wa ..' hiyo lugha siyo yetu' , hautakiwi kuwa kichaka cha kuficha mapungufu yaliyosababisha watu wengi kutojua kwa ufasaha hiyo lugha.
Mapungufu...
Ni kweli jirani yetu Kasongo na familia yake bado wana hasira na ile abracadabra waliyochezewa na kufanya mzee wa Ankole abadili mawazo kupitisha wese lake upande ule.
Nilichokiona, Kasongo anataka political leverage... aonekane kama bingwa wa kuhamsisha suala la kuongezea thamani rasilimali...
Kuna mtu kasema eti PEOPLE'S POWER haina nguvu mbele ya silaha. Sijui anamaanisha nini..,lakini ni wazi anafanya upotoshaji wa wazi na wa makusudi. Sayansi ya siasa na historia vinathibitisha kwamba NGUVU YA UMMA siku zote imeonesha kuwa matokeo chanya katika jamii.
Soma pia Kauli ya people...
Sina maslahi na TEC..,ila kusema benki ya TEC walichukua mgao katika kashfa ya ESCROW/ IPTL , ni jaribio la kutaka kuwaficha kwa makusudi wahusika wakuu wa upigaji wenyewe.
Zitto Kabwe ndiye alikuwa wa kwanza kusema bungeni wakati huo kwamba benki ya Mkombozi,inayomilikiwa na kanisa Katoliki...
Shida kubwa ya ccm inaanzia katika katiba ya chama chake...
Mwenyekiti wa ccm amekuwa kama Mungu-mtu...,atakaloamu ndilo linalokuwa. Mwanachama yeyote hata akiwa kiongozi wa wananchi kama mbunge anatakiwa kuwajibika kwa chama, na siyo kwa wananchi.....na kwa wanavyofanya mambo yao,wabubge aa...
Mkuu, uteuzi wa CDF JWTZ kigezo kikuu huwa ni uchawa,siyo lazima utaalam wake katika medani
Wale wenye sifa za kuwa wakuu wa majeshi kwa mantiki ya kuijua kazi yao,kuwa na msimamo na kujitambua wanakuwa overlooked kwa makusudi kwa hofu ya uwezwkano wa kukataa kuburuzwa na wanasiasa ..
Nasikia huo huo uchawa kwa Sa100 ndo uliomponza.....
Walijua atazidisha kwa ku-mobilise wabunge kichawa zaidi kama alivyofanya wakati wa DP..
Huko katika Kijani yao hakuko sawa, kuna tug of war within...
Nimekujibu kiongozi.....
Nimemjibu pia Mtibeli...
Suala la wizi, rushwa, na tamaa ni sehemu ya hulka ya kibinadamu ya asili kabisa.
Kwa hiyo katika jamii yoyote lazima kutakuwepo na watu wa aina hiyo.
Sasa kuifanya jamii fulani ili iondokane au watu wake wasiwe katika muelekeo wa kupenda...
Sijui unamaanisha nini...
Huyo Mtibeli anajua hayuko sawa pia..
Ila wewe kutoelwa kwamba Mtibeli anakupotosha....tena anakupotosha kwa hoja dhaifu, nitashindwa namna ya kukusaidia baada ya hapa...
Kwa mfano... Mtibeli anaeleza katika mada yake .kwamba anahisi japo anashindwa...
Tumuunge mkono yeye na CCM yake kwa kushindwa kuitoa Tanzania katika umaskini na mdororo wa kijamii na kisiasa tuliomo kwa sasa?
Tumuunge mkono ili aendelee kuteua watendaji kwa kufuata NEPOTISM na kuacha MERITOCRACY?
Uko sahihi sahihi sana.
Kwa namna Mtibeli alivyoandika inaonesha kabisa kabisa ukweli anaujua lakini anafanyavkusudi kupindisha hoja.
Ukiweka katika lugha rahisi alichokisema maana yake ni kwwmba tukihoji CCM kwa nini tumekwama, kwa nini tuko maskini hadi leo,..kisha CCM ijibu kwamba imeshindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.