Recent content by jamie21

  1. J

    Written interview TRA

    Aisee wale ambao wana interview 23rdJulY tuwasiliane kwakubonga throu phone if it's necessarY!
  2. J

    Written interview TRA

    ok unajua ingekua poa kama Kuna mtu alihudhuria interview ya kwanza ya izo post atupe mwanga kidogo ila naona raia wote wanakuambia soma kila kitu!
  3. J

    TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

    Jamaa ang unajua we ni mtoto wa kiume na wanaume hatusutagi sasa nashangaa mshkaji ang unanipa mashaka achaga izo mambo! Ni utaratibu ambao unaendelea kabla Ya zoezi la kusitisha ajira so kama kitu huna uhakika usibonge
  4. J

    Written interview TRA

    Business Administration
  5. J

    Written interview TRA

    aisee me nimeitwa nafasi ya preventive assistant..kama unafahamu au uliattend interview ya nyuma nipe mwanga wa maswali Yao inakuaje?
  6. J

    Written interview TRA

    umeitwa katika usahili wa nafasi gani?
  7. J

    TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

    Habari wadau! Aisee huu mwezi wa saba nani mwezangu ambaYe ameitwa kwenYe interview TRA??
Back
Top Bottom