Kwa mizigo midogo kama container moja na gari moja au mawili inawezekana kutoa bila kupitia kwa agent kwasabu ulipiwa ushuru kabla ya kutoka bandarini kumbuka kuna bulk cargo , equipment kama vifaa vya kutengeneza barabara au mirandi mikubwa ni ngumusana mwenye mzigo kutoa mwenyewe pia kuna...
Acha kupotosha hizo bahasha ni movement sheet zinatolewa na TRA kila mzigo wa Transit za kuonyesha kwenye check point za TRA kuanzaia misugusugu mpaka makambako baada ya makambako dereva anatakiwa kumpatia agent bila kuifungua T1 mambo ya bond msipende kupotosha watu hao madereva waliokupa...
Nyumba za kumpanga zina uswahili mwingi sana kwenye mambo ya umeme kama mnatumia mita moja kuna watu wengine wanatumia majiko ya umeme na hita wao ndio wakwanza kuchangisha umeme ukiisha
Nawapenda Fast jet nimepanda mala tano kutoka dar Johannesburg kwa garama ndogo sana 350,000 Tsh wakati SouthAfrican airline na mashirika mengine bei zao ziko juu sana Ethiopia pia bei zao sio mbaya sana tatizo awana ndege ya Dar Johannesburg mpaka uende Ethiopia ulale ADbaba kesho yake...
Mwenzake kashitakiwa kwa kosa la kusambaza picha mtandao kiukweli sijaelewa kwanini kashitakiwa pepeke yake au mwenzake aonekani vizuri kwenye picha wamashindwa kumtambua?
Wabaongo kwakupenda kitonga ndio maana mnapigwa kwanini usijulize swali showroom za magari used Japan bei zake kuanzia 10m kwendelea unafikiri gari la 1.2 litakua gari au mazonge kila siku kucha kwamafundi gereji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.