Tumeskia maamuzi ya serikali ya kununua korosho Kutoka kwa wakulima kwa Tzs 3,300.00 na uongozi wa Tanzania Agricultural Development Bank umeagizwa kulipa pesa hizo mara moja. Binafsi nimekuwa na shaka kubwa sa juu ya uwezo wa hii bank ambayo mtaji wake ni karibia mara 10 ya pesa walioagizwa...
ushirikiano wa haya mambo upo tena sana across the world, nikukumbushe kwamba hata Nyerere alishawahi kuwaleta hawa watu, kumbuka issue ya kuungua kwa central bank.
Msemakweli asiyejua ukweli wa kimantiki.
unategemea kweli jeshi la polisi?
vipolo vingapi wanavyo hadi sasa?
Tundu lisu walisema wamachunguza had sasa miaka mingapi hadi kesi wameshindwa kufungua,
azory imefikia wapi?
ben imefikia wapi na wana majibu gani?
Kikubwa ni kwamba wote tunaishi humu...
Habari za asubuhi ndugu wapenda haki.
Nimekuwa nikifuatilia taarifa na matukio mbali mbali yanayoendelea hapa nchini kwa muda mrefu sana, ni dhahiri shahiri kuwa tuna kila sababu ya kuungana na kuongea lugha moja kama taifa, matatizo yote yanayoendelea ukiyaangalia kwa jicho la karibu kiini...
Hi Good People.
Nimeoona ni vyema nikuhusishe kwenye hili jambo ili nijue kama unaweza kwa nafasi yako kufanya uchunguzi na kuondoa doubt ya haya ninayotaka kuyaongea ili na wewe uliwasilishe hili bungeni kwa lengo la kutaka kupima utashi wa serikali katika kuinua au kuua taasisi za kifedha...
Majibu ya kishujaa haya ila moyoni maumivu matupu. Ukweli upo na unajulikana na ipo siku wala si mbali mtayaona na kuyashuhudia yale yote mliyoyadhania kuwa sahihi kumbe????
KINACHOONGELEWA NI MUSTAKABALI WA TAIFA WENYE DRESS YA UTAIFA NA SI CHAMA. TATIZO LENU MME LEWA USIASASIASAHADI MNASHINDWA KUTAMBUA LIPI NI KWA MANUFAA YA CHAMA NA LIPI NI KWA MANUFAA YA TAIFA. UKIPATA KIONGOZI MBAYA MIAKA 7X2 NI MINGI SANA. TUTANGULIZE UTAIFA WA KWELI.
Nawasalimu wana bodi,
Nianze kwa kusema, tatizo kubwa la hii dunia sio tu watu waovu bali ni watu wenye uelewa wa mambo wanapokaa kimya.
Nimekuwa nikifuatilia siasa za Tanzania kwa karibu sana, nimekuwa nikipata mashaka makubwa sana juu ya hatima ya hii nchi ambayo inaonekana kuwa mashakani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.