Ndugu nakuunga mkono Sana,huyu jamaa ni mjinga Kabisa,anasema waafrika walio USA wanatseka kujifaidisha USA,kwani wabongo hawateseki kujifaidisha bongo na viongozi wake?,anasema Mara hawapati kitu,je bongo wangapi wanafanya kazi siku 7 myaka,ila ukimwambia nisaidie laki Hana?,pia alivyo mshamba...