Recent content by James H

  1. James H

    Kesi ya Halima Mdee na Wenzake 18 leo Machi 9, Dkt. Azavel Lwaitama kuhojiwa Mahakamani

    Mahakama zetu zinazidiwa na tff kesi kama hizi zinamaliza miaka wakati za tff zinaisha siku hiyo hiyo
  2. James H

    Kesi ya Halima Mdee na Wenzake 18 leo Machi 9, Dkt. Azavel Lwaitama kuhojiwa Mahakamani

    Mahakama zetu zinazidiwa na tff kesi kama hizi zinamaliza miaka wakati za tff zinaisha siku hiyo hiyo
  3. James H

    Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

    Je mbowe anaweza kuishitaki serikali ili wamlipe mda waliompotezea kukaa ndani bila makosa?
  4. James H

    Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi

    Ila mimi naona imempunguzi cv huyo jaji angeimaliza siku upande wa serikali walipomaliza kutoa ushaidi na kuifutilia mbali ingemjenga sana lakini kusubili chombo kingine kiingize maamuzi yake ukweli imemshusha kiwango.
  5. James H

    Halima Mdee: Serikali iache kukimbilia kukopa inadumaza akili

    Klekippo,naamini wewe ndo ukunielewa vizuri, Mimi siyo kwamba naunga mkono kwa serikali mikopo isiyo na tija, ila mimi nachukulia mfano nchi hii tokea tumepata uhuru, Hawa watangulizi wa Mama Samia wamekuwa wanakopa tu. Sisi kama wananchi wala hatuanbiwi ila utasikia deni la taifa sasa tilioni...
  6. James H

    Halima Mdee: Serikali iache kukimbilia kukopa inadumaza akili

    Hawa wabunge wengine ndoo maaana hata hawaolewi nivigumu sana kumuelewa,au je anafaa kuwa kiongozi?
  7. James H

    Rais Samia aache siasa, Tanzania haiwezi kuendelea kwa kutegemea misaada

    Heri ya mama Samia anaetwambia hiyo mikopo kuliko wale waliokuwa wanakopa kimya, niseme watz mko wanafiki sana mnatakiwa kuongzwa kama punda.....!
  8. James H

    Dkt. Tulia Ackson alamba kura zote asilimia 100, aapishwa kuwa Spika wa Bunge

    Duh! hiyo 100 uwa inapatikana tz tu hasa kizazi hiki, nakumbuka hata mwl Nyerere hakuwahi kupata hiyo 100 na haiwezekani watu 376 wakawa na mawazo sawa labda kama wote wameangalizia😂😂😂
  9. James H

    Wenzake na Mwl. Nyerere waliohusika kupigania uhuru wa Tanganyika ni kina nani? Tuwape hadhi yao

    Tatizo historia ya nchi hii inaanzia mwaka 1960 lakini babu zetu walipambana kuanzia miaka ya 1920 wala hawakumbukwi
  10. James H

    Vifo vya watu 14: Mkuu wa Mkoa Mwanza awajibike

    Kweli inasikitisha sana
Back
Top Bottom