Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,521
- 34,824
We jamaa bhana....Kule Ngorongoro zimejaa ng'ombe za akina Lema, Mbowe na Edwin Mtei, wamasai wamebakiza kazi ya kuchunga tu sio kumiliki mifugo, waondolewe mbugani
We jamaa bhana....Kule Ngorongoro zimejaa ng'ombe za akina Lema, Mbowe na Edwin Mtei, wamasai wamebakiza kazi ya kuchunga tu sio kumiliki mifugo, waondolewe mbugani
Mkuu nimeongea na masai mudaa huu nulikosea sio msata ni mkataUlikuwa na mpango wa kununua eka 20 wapi huko?
Mkata ni maeneo ya wapi?Mkuu nimeongea na masai mudaa huu nulikosea sio msata ni mkata
Kumhamisha masai si kazi ili mradi hawa ni NOMADS hawana makao ya kudumu.Wamasai wamedekezwa kwa miaka mingi kwa kisingizio cha kuwabadilisha; wapende shule, wapunguze mifugo, sijui bhla! bhla gani. Wamekuwa wasumbufu wanaojidai kutojua sheria za nchi kwa kisingizio eti ndivyo walivyo. Hawa wanajifanya na wametumia mwanya huo kundekeza ukabila na kujifanya wao ni maalumu, special. Mkoani Morogoro wanasumbua wakulima na tunaambiwa ni mgogoro wa wakulima na wafugaji, badala ya kusema ni wamasai na wakulima.
Serikali inashindwa kuwaambia waondoke na tabia yao mbovu ya kutoheshimu kilimo. Mkoa wa Morogoro una makabila mengi ya wafugaji, lakini wanaonesha ustaarabu. Wapo wasukuma waliohamia, wapo wakaguru pia. Mifugo kuharibu mazao ni kawaida na mara zote wafugaji wastaarabu hujutia tukio hilo. Tatizo ni wamasai kutokuwa na ustaarabu na kujifanya hawajui maana ya kilimo. Sasa tena eti tunahangaishwa na Ngorogoro!
Serikali inahangaika kuwaondoa. Hao watu waondoeni, ibaki idadi inayokubalika. Kuwa mmasai isiwe ni kigezo cha kuishi na nguruwe. Wao siyo kabila la kwanza kuhamishwa nchi hii. Makabila mengi yalishahamishwa bila fidia na hadi leo wanaishi kwa amani. Tusiwafanye ni special.
Huyu vipi?Kuna watu wana uwezo mdogo sana wa kufikiri mleta mada ni mmoja wapo.
Asibakie mtu hata mmoja huko Ngorongoro. Watazaana tena halafu miaka ya mbeleni iwe tabu kuwaondoaibaki idadi inayokubalika.
Ntamuliza masai,ila nadhani ni handeniMkata ni maeneo ya wapi?
Wamasai wamekukosea nini? Ni aibu kwa Mtanzania yoyote kuwa na mawazo kama haya. Idadi inayokubalika maana yake ni nini? Nani anapanga hiyo idadi? Kwa nini hili tatizo lianze sasa?Wamasai wamedekezwa kwa miaka mingi kwa kisingizio cha kuwabadilisha; wapende shule, wapunguze mifugo, sijui bhla! bhla gani. Wamekuwa wasumbufu wanaojidai kutojua sheria za nchi kwa kisingizio eti ndivyo walivyo. Hawa wanajifanya na wametumia mwanya huo kundekeza ukabila na kujifanya wao ni maalumu, special. Mkoani Morogoro wanasumbua wakulima na tunaambiwa ni mgogoro wa wakulima na wafugaji, badala ya kusema ni wamasai na wakulima.
Serikali inashindwa kuwaambia waondoke na tabia yao mbovu ya kutoheshimu kilimo. Mkoa wa Morogoro una makabila mengi ya wafugaji, lakini wanaonesha ustaarabu. Wapo wasukuma waliohamia, wapo wakaguru pia. Mifugo kuharibu mazao ni kawaida na mara zote wafugaji wastaarabu hujutia tukio hilo. Tatizo ni wamasai kutokuwa na ustaarabu na kujifanya hawajui maana ya kilimo. Sasa tena eti tunahangaishwa na Ngorogoro!
Serikali inahangaika kuwaondoa. Hao watu waondoeni, ibaki idadi inayokubalika. Kuwa mmasai isiwe ni kigezo cha kuishi na nguruwe. Wao siyo kabila la kwanza kuhamishwa nchi hii. Makabila mengi yalishahamishwa bila fidia na hadi leo wanaishi kwa amani. Tusiwafanye ni special.
Ukiangalia kwa haraka, unawezasema Wamasai wanapigwa vita, NO! Tatizo ni vitendo vyao vinavyolindwa na wanasiasa. Ni mara nyingi tunasikia wamasai wanaua wakulima kwa sababu za kishenzi tu, na hakuna anayekamatwa!Mmekomaa nyuma ya key boards kuandika maneno ya chuki dhidi ya wafugaji....lakini nikiuliza ni yupi kati yenu ambaye inapita wiki hajatumia zao (products) la mifugo kama nyama na maziwa.
Ikiwa umekula nyama, je unahisi ni nyama inayotokana na ng'ombe au mbuzi wa kisasa? Au ni mifugo wanaotoka kwa wafugaji wa asili!!
Makabila yote yamekuwa yakiondolewa sehemu za hifadhi na hata kwenye maeneo ya madini. Kwa nini hawa tujiulize njia ya kuwaondoa? Njia ni ile ile!Duuh!
Sasa waondolewe kwa njia gani??
Utamaduni unaonesha mnaondoa alafu mnawapa mafisadi wachache wanufaike.Makabila yote yamekuwa yakiondolewa sehemu za hifadhi na hata kwenye maeneo ya madini. Kwa nini hawa tujiulize njia ya kuwaondoa? Njia ni ile ile!
Kila mahali hapa Tanzania kuna hizo resources, mkiwamaliza Wamasai nani atafuatia? Hebu tujuze ''resources'' ambazo Wamasai wameharibu?Tatizo lako unajiliza kikabila ili wakuache, NO! kilichoandikwa ni sahihi kabisa!! Mambo ya kudeka ni mabaya. Hakuna haja ya kuficha mambo ya wazi. Ngorongoro kuna resources za kitaifa, haziwezi kuharibiwa na kabila moja kwa sababu ya kujidai eti wanaonewa. Miaka mingapi imepita tangu Wakurya waondolewe kwenye eneo la North mara? Ikija kwa wamasai eti ardhi yao, bhla! bhla.....! Huko Morogoro wanasumbua na kuua watu kwa kiburi cha ignorance. Let them shika adabu!
Wamasai wamedekezwa kwa miaka mingi kwa kisingizio cha kuwabadilisha; wapende shule, wapunguze mifugo, sijui bhla! bhla gani. Wamekuwa wasumbufu wanaojidai kutojua sheria za nchi kwa kisingizio eti ndivyo walivyo. Hawa wanajifanya na wametumia mwanya huo kundekeza ukabila na kujifanya wao ni maalumu, special. Mkoani Morogoro wanasumbua wakulima na tunaambiwa ni mgogoro wa wakulima na wafugaji, badala ya kusema ni wamasai na wakulima.
Serikali inashindwa kuwaambia waondoke na tabia yao mbovu ya kutoheshimu kilimo. Mkoa wa Morogoro una makabila mengi ya wafugaji, lakini wanaonesha ustaarabu. Wapo wasukuma waliohamia, wapo wakaguru pia. Mifugo kuharibu mazao ni kawaida na mara zote wafugaji wastaarabu hujutia tukio hilo. Tatizo ni wamasai kutokuwa na ustaarabu na kujifanya hawajui maana ya kilimo. Sasa tena eti tunahangaishwa na Ngorogoro!
Serikali inahangaika kuwaondoa. Hao watu waondoeni, ibaki idadi inayokubalika. Kuwa mmasai isiwe ni kigezo cha kuishi na nguruwe. Wao siyo kabila la kwanza kuhamishwa nchi hii. Makabila mengi yalishahamishwa bila fidia na hadi leo wanaishi kwa amani. Tusiwafanye ni special.ila ni kutokusoma historia, lakini miogoni mwa vivutio vya hizo mbuga Ni pamoja na hao wamasai, hata hao watalii wanajua kwamba wamasai nao ni utalii mmoja wapo ktk eneo ilo, Sasa kwasababu hiki kizazi kinapoteza historia ndo maana hali inakuwa hivyo, tunaongozwa na miemuko tunapoteza history, kwanza hao wenyeji hawali nyamapoli, na wamekuwa wakiishi nao mpaka simba lakini hawazuriwi na Simba kwasababu wanajuana walivyo jamii moja, sema uvyamizi wa makabila mengine kwenye eneo hilo ndo unaleta shida
Acheni uhuni Kwa kisingizio Cha resources binadamu ni Bora kuliko hao nyumbu unajua akili zenu zimesha dumaa hamna namna ya kupata vyanzo vipya vya mapato mnawaza tu mfukuze wamasai mmilikishe wazungu mmekua wajinga mpaka mmepitiliza iko wapi gesi ya mtwara mliopiga nayo watu na jeshi mkapeleka?Tatizo lako unajiliza kikabila ili wakuache, NO! kilichoandikwa ni sahihi kabisa!! Mambo ya kudeka ni mabaya. Hakuna haja ya kuficha mambo ya wazi. Ngorongoro kuna resources za kitaifa, haziwezi kuharibiwa na kabila moja kwa sababu ya kujidai eti wanaonewa. Miaka mingapi imepita tangu Wakurya waondolewe kwenye eneo la North mara? Ikija kwa wamasai eti ardhi yao, bhla! bhla.....! Huko Morogoro wanasumbua na kuua watu kwa kiburi cha ignorance. Let them shika adabu!
Mimi ningekuwa Rais, wafugaji wanaoswaga ng'ombe wao kwenye mashamba ya watu, wangekula kichapo wasingesahau maisha yao yote.
Acha dharau boss....usiitukane jamii nzima kwa makosa ya wachache.Vita ya wafugaji na wakulima, Masai huwa wanaua watu, wanaona watu hawana thamani zaidi ya mifugo yao..kwa wamasai bora ng'ombe kuliko binadamu. Takataka kabisa hawa watu