Yani mgonjwa yupo hospitalini tabani umeulizwa tunamsaidiaje, we unasema mmepeleka mtaala mashuleni sasa huyo mgonjwa anahusikaje hapo. Huyu N/waziri ajitafakari nadiliki kusema arudi tu kwenye professional yake asisubutu kuchukua form ya kurejea bungeni ameproove failure sana.
Hakika huu mwaka unaenda kuisha vizuri, tukiuendea mwaka ujao na busara kama hizo. Hadi wachangiaji karibu wote wamejaa hekima na michango murwa sana. Big up.
Hata hapa ndani ukienda kwenye makundi tofauti ya watu wanakuainisha kwa minajiri au mitazamo hiyohiyo. Mfano, Ukitoka mikoani kuja dar wanakuona mshamba hujui kitu na husitahili kuwaelekeza chochote, ukitoka dar kwenda mikoani wanakuona kama tapeli fulani, Ukitoka dhehebu hili kwenda lile...
Baada ya kupita miji na majiji kadha hapa nchini kila nilipojaribu kununua vifaa vya ujenzi nimeshikwa na butwa kuona kalibu kila bidha bei imeongezeka kwa aslimia 30 hadi 50 kwa bei za awali.
Baada ya kuuliza wafanyabiashara wawili watatu nimeambiwa hali hiyo wanajua serikali. Sasa niombe...
Mwenyekiti jukumu lake ni kuasaini form ya mgombea uraisi akishirikiana na wajunbe wa kamati kuu ,kupokea viongozi wa juu wa chama. Lakini wajibu wake namba moja wa kuisimamia serikali wanajiweka pembeni.
Umeeleweka vizuri sana, ila kulinda afya yako lazima userious uzingatiwe mfano kula mlo kamili na kwa wakati . Hayo mingine take it easy, live stressless.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.