Recent content by Jakumanga

  1. J

    JamiiForums Tanzania Kituko cha Karne: Vyombo vya dola vinaipambania CCM iendelee Kutawala ili Bungeni wajadili haya

    Ponjoro anajiona yeye ndio Mtanzania halisi kuliko Watanzania wengine!
  2. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tuseme ukweli, mwanachama wa CCM, akifungua kesi dhidi ya Wadhamini wa CCM, Mahakama itakipiga marufuku CCM kufanya shughuli zake kesi ikiendelea?

    Tulishaambiwa Nchi hii Mahakama haiko huru! Yaani mtu mmoja wa Serekali ana uwezo wa kupiga simu na kumuelekeza Jaji nani wa kumpa haki na nani wa kumnyima haki!
  3. J

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Kinachoendelea mitandaoni kuhusu "No Reforms, No Election" ni UPUUZI

    No REFORM No ELECTION
  4. J

    JamiiForums Tanzania Video: DC Bomboko huku ni Kujidhalilisha, Si kila mtu ni mwoga. Haya sasa unajisikiaje?

    Mradi tu uwe CHAWA mwandamizi alafu uwe UVCCM!
  5. J

    JamiiForums Tanzania Huyu askari polisi ndo kapiga watu nje ya mahakama ya Kisutu leo, ‘allegedly’

    Sidhani kama anafamilia huyu! Mtu mwenye familia hawezi fanya jambo la kijinga namna hii! Kama ana familia labda inaishi Kambini sio huku uraiani kwetu!
  6. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Ali Kawaida: Sio kila anayepotea, katekwa na vyombo vya dola!

    Sasa tunaomba atufafanulie kati ya hao 80+ Vyombo vya dola vimeteka na kuua wangapi?!
  7. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kawaida amshukia Askofu Gwajima: Hukushinda kura za maoni ila chama kikakuamini ila unashindwa kurudisha imani ya chama

    Hata mimi nimebaki mdomo wazi! Zamani UVCCM ilikuwa ni Tanuru la Fikra, ila sasa ni Tanuru la Machawa! Hebu fikiria huyu ni Kiongozi wa Juu wa UVCCM ndio anajibu hoja namna hii!! Kweli sisi kama Taifa tumepotea njia, tunaongozwa na vipofu wa Fikra!
  8. J

    JamiiForums Tanzania Basilla amwambia Rais Samia “Kuvujisha Siri ni utovu mkubwa wa maadili ila kufanya yanayovujishwa ni ukosefu mkubwa zaidi”

    Vijana wa UVCCM vichwa vyenu vimejaa matope badala ya Ubongo! Sasa ulicho andika kina husiana nini kuhusu Hoja yake?!
  9. J

    JamiiForums Tanzania Mwambieni Samia atapata tabu sana Lissu siyo Besigye

    Shemeji anamlea vizuri, ndio maana ana Jamba jamba hovyo!
  10. J

    JamiiForums Tanzania Kabla hujaamua kumuoa muulize kwanza ana msimamo gani kuhusu Mwamposa, Tony, Kuhani Musa, Mwakasege na Geor Davie

    Wee Mama utakuwaje tena Baba wa mtu?! Au una Jinsia mbili??
  11. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ofisi ya Msajili yatengua uteuzi wa wajumbe 8 wa sekretarieti na kamati kuu ya CHADEMA walioteuliwa na Tundu Lissu

    Bila kuwa CCM huwezi kuwa na sifa ya kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa!
  12. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Heche: Polisi waliotukamata wamezunguka na sisi kwenye magari yao kisha kututelekeza barabarani

    Sister hiyo Mimba ukijaaliwa kujifungua salama, nakushauri huyo Mtoto mpe jina la CHADEMA, make kichefu chefu cha hiyo mimba isikiapo neno Chadema sio cha Sayari hii! 😁😁
  13. J

    JamiiForums Tanzania Masaji ni starehe ambayo watu wanaichukulia poa sana

    Daah, ila wee jamaa post zako humu jamvini, Mmhh!
Back
Top Bottom