Angalau Zambia 🇿🇲 Tume yao ya uchaguzi ZEC ipo huru,hapa Tanzania hatuna tume,bali kuna wakala wa CCM wakiitwa viongozi wa tume, Zambia kura inapigwa inathibishwa kila kila hatua kabla ya kutangazwa na tume, na wameruhusu mgombea binafsi( Independent candidates) hii nchi imepiga hatua kwenye...
Kwa mujibu wa Biblia Sabato ni siku ya saba ya juma na ni siku ya mapumziko,
Baada ya Uumbaji wa siku sita Mungu alipumzika siku ya saba, Mwanzo 2:2-3,
Amri ya nne inasema sabato ikumbukwe na iheshimiwe,Kutoka 20:8-11,
Hata mbinguni sabato hata sabato wanadamu wote watakusanyika mbele zake...
Humu kuna people with smart 🧠 brain, great thinkers,
Labda uwe chawa au uwe unanufaika moja kwa moja na ccm au serikali ndio utashabikia kwa ccm lakini kwa unafiki
Zanzibar yenyewe hawawezi kamwe kumchagua mwanamke kuwa rais wao, mtu wa huku bara huwezi kumiliki ardhi hata mwanamke huwezi pewa kama ni mwanaume anatokea huku bara,
Kwa kweli warudishe na wakae kimya,Chadema ina watu wenye akili sana, Na Wananchi wengi wako na Chadema na wako Tayari kumchangia Heche pesa zake Binafsi za Matumizi,kwenye account yake
Duuhh huyu Samia kama ni kweli, basi hana huruma na maskini wa nchi hii, itamfaidi nini kujimilikisha rasilimali zote za Taifa wakati siku za kuishi mwanadamu si nyingi? Ni miaka 70 mpaka 80 kama Mungu amekupendelea sana, lakini kwa haya anayowafanyia Watanzania hata hizo 70 zinaweza zikapungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.