Recent content by Jakamageta

  1. J

    JamiiForums Tanzania Hakainde Hichilema atashinda uchaguzi mkuu wa Zambia na hapatakua na Re-Run elections.

    Angalau Zambia 🇿🇲 Tume yao ya uchaguzi ZEC ipo huru,hapa Tanzania hatuna tume,bali kuna wakala wa CCM wakiitwa viongozi wa tume, Zambia kura inapigwa inathibishwa kila kila hatua kabla ya kutangazwa na tume, na wameruhusu mgombea binafsi( Independent candidates) hii nchi imepiga hatua kwenye...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Katika Amri 10 za Mungu Watanzania wamekazana na Usizini lakinI SABATO haiwahusu wacha Mungu

    Hawahesabiwi kivipi? Fanya utafiti sabato ipo kila sehemu Hapa Tanzania tuache ushabiki wa madhehebu tuongee ukweli.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Katika Amri 10 za Mungu Watanzania wamekazana na Usizini lakinI SABATO haiwahusu wacha Mungu

    Kwa mujibu wa Biblia Sabato ni siku ya saba ya juma na ni siku ya mapumziko, Baada ya Uumbaji wa siku sita Mungu alipumzika siku ya saba, Mwanzo 2:2-3, Amri ya nne inasema sabato ikumbukwe na iheshimiwe,Kutoka 20:8-11, Hata mbinguni sabato hata sabato wanadamu wote watakusanyika mbele zake...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Katika Amri 10 za Mungu Watanzania wamekazana na Usizini lakinI SABATO haiwahusu wacha Mungu

    Sabato si ni dhehebu la dunia nzima au ni wajita na wapare? Nimesoma na wasukuma wengi na waha hata wanyakyusa Wasabato wengi na wako vizuri upstairs
  5. J

    JamiiForums Tanzania Madhila yote ya Utekaji Samia hajawahi kukemea

    For peace to prevail in this country the way we used to have it, some top ccm leaders have to die,shameful death
  6. J

    JamiiForums Tanzania MIJI ILIYODUMAA TANZANIA

    Bukoba, Wahaya wabishi na ujuaji mwingi na pesa hawana, bora waangaza wanapambana na maendeleo wanao siku hizi,
  7. J

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    Humu kuna people with smart 🧠 brain, great thinkers, Labda uwe chawa au uwe unanufaika moja kwa moja na ccm au serikali ndio utashabikia kwa ccm lakini kwa unafiki
  8. J

    JamiiForums Tanzania Heche anapeleka wapi hela anazotafuna? Nyumba anayojenga haiendani na hela zinazotajwa kutafunwa

    Comeback ya kibabe, Umemjibu vizuri huyu mpuuzi,
  9. J

    JamiiForums Tanzania Tukishamfukuzia huyu Kizimkazi; Je, ajaye naye tumfukuzie Ikungi?

    Zanzibar yenyewe hawawezi kamwe kumchagua mwanamke kuwa rais wao, mtu wa huku bara huwezi kumiliki ardhi hata mwanamke huwezi pewa kama ni mwanaume anatokea huku bara,
  10. J

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya Chadema inatisha! Baada Press ya Mnyika waliolipwa waamriwa kurejesha mil mbili mbili walizolipwa kushambulia Heche

    Kwa kweli warudishe na wakae kimya,Chadema ina watu wenye akili sana, Na Wananchi wengi wako na Chadema na wako Tayari kumchangia Heche pesa zake Binafsi za Matumizi,kwenye account yake
  11. J

    JamiiForums Tanzania Heche shikilia hapo hapo hadi mwenye spika ajitokeze

    Nakuunga mkono, Heche ana msimamo kwenye mambo ya Msingi, si rahisi kununulika
  12. J

    JamiiForums Tanzania Support Dada wa Taifa Mange Kimambi

    Tumpiganie Heche na Lissu,nakubaliana na wewe, Mbowe na Abdul wanahujumu chadema kupitia baadhi ya Viongozi wa Chadema na
  13. J

    JamiiForums Tanzania Katibu CHADEMA Morogoro: Mamlaka za Chama ziingilie kati tuhuma zinazomhusisha Makamu Mwenyekiti kuhusu michango

    Watu kama hawa ni wa kufukuza kwenye Chama, wananunuliwa kwa vipande vya fedha kidogo sana,
  14. J

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Namba moja ajimilikisha kijiji cha Ololosokwan, Ngorongoro

    Duuhh huyu Samia kama ni kweli, basi hana huruma na maskini wa nchi hii, itamfaidi nini kujimilikisha rasilimali zote za Taifa wakati siku za kuishi mwanadamu si nyingi? Ni miaka 70 mpaka 80 kama Mungu amekupendelea sana, lakini kwa haya anayowafanyia Watanzania hata hizo 70 zinaweza zikapungua...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton: Nitaweka wazi majina ya wajumbe wa Kamati Kuu CHADEMA waliopewa pesa kulazimisha Maridhiano na kumshambulia Heche

    Heche tuko pamoja na wewe mpaka ushindi upatikane, hata wakuchafue hao pandikizi wa ccm,sisi tunajua ukweli,
Back
Top Bottom