Recent content by Jakamageta

  1. J

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Kumtetea huyu mtu ni kazi ngumu sana, mental capacity ni ndogo sana ndiyo maana anapwaya sana kwenye hotuba zake,
  2. J

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Polisi hakikisheni ‘Vi-clip clip’ visirushwe, msimame kwenye mambo yenu

    Hatuna Rais hapa, e Mungu tunaomba utupatie kiongozi shupavu mwenye kuchukia rushwa kwa vitendo, maskini wanaumia sana kwenye hii nchi.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Walifikiri Marekani inatania, vilio vimeanza kusikika ndani na nje ya bunge

    Tena mavi baridi ya watery diarrhea
  4. J

    JamiiForums Tanzania Ni Africa tu ambapo mwenyekiti wa Chama yupo gerezani kwa makosa ya uhaini lakini bado anaendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA hii ni aibUu

    We ni Academically dwarf huwezi nielewa labda nitumie kiswahili, Lissu ni Muujiza inayotembea,
  5. J

    JamiiForums Tanzania Ni Africa tu ambapo mwenyekiti wa Chama yupo gerezani kwa makosa ya uhaini lakini bado anaendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA hii ni aibUu

    You are the product of unsuccessful Incomplete abortion, stop reasoning like class 3 term one drop out of school, Lissu is a walking Miracle,No weapon formed against him will succeed/ Prosper
  6. J

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Haki ndio Msingi wa Amani

    Preaching water while drinking strong wine, when will hypocrisy end in these Corrupt leaders?
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Bora angekaa kimya tu, wanajidhalilisha kimataifa na kuchafua sura ya nchi iliyokuwa kisiwa cha Amani, sasa hivi wageni wataanza kuogopa kuja Tanzania kwa kuhofia usalama wao,
  8. J

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Jinsi David Djumbe "alivyotekwa" na kuwakimbia "watekaji" akiwa na pingu

    Samia kama Rais mwanamke aliyeenda labour anafurahia wananchi wanavyoteswa na polisi hivi? Mungu tunaomba uingilie kati, watanzania tumelia na kuumizwa na kuuawa vya kutosha kwa sababu ya uchu wa madaraka,
  9. J

    JamiiForums Tanzania Done your proper research?! Kingereza cha ugoko cha Bashite

    Makonda is neither smart upstairs nor good in communication skills, It takes him a week to hardly construct a sentence in English language , This local language swahili has denied Tanzanians alot of opportunities abroad Kenyans have carried the day several times in Communication skills...
  10. J

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mary Chatanda: Samia angenipa nchi dakika moja, ningeimaliza CHADEMA

    Hawa ndio wanafanya watanzania wamchukie Rais Samia, kuongoza nchi kwa zama hizi inahitaji hekima ya mfalme Suleiman, SIYO mabavu Na ukiwa kiongozi ujue huwezi pendwa na kila mtu hata ungewapa pesa bado watakuchukia, Samia anaoneka rais mbaya ktk historia ya Tanzania kwa sababu ya ushauri wa...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Geita Mjini: Kama CHADEMA inapendwa namna hii basi shughuli imeisha

    CCM imebaki kutegemea polisi kwenye ushindi wao, ogopa chama au mtu anayetumia pesa ili akushawishi umpende na unaweza kula pesa zake na usimpende ndio ccm, Chadema pamoja na vikwazo vyote lakini wananchi bado wako upande wao,
  12. J

    JamiiForums Tanzania Angekuwepo shujaa wa Afrika hayati JPM leo hii mradi wa SGR ungekuwa umekamilika hadi Mwanza. Hii ni kwa sababu alikuwa na uchungu maisha ya watu

    Kwenye Miradi ya maendeleo Magufuli alifanya Vizuri sana na sidhani kama atatokea rais mwenye kuthubutu kama Magu, yule jamaa alikuwa na madhaifu yake lakini amefanya mengi makubwa sana kwa awamu moja tu,
  13. J

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba ana Chuki na Rais Samia na Anataka Kumchafua yeye na serikali yake na ndio maana anaongea Vitu bila kuweka Ushahidi wa Aina yoyote ile

    Warioba yuko sahihi, na siyo mnaka kama unavyotaka awe, kweli siku zote humuweka mtu huru, Wewe Lukas endelea kutafuta uteuzi kwa kuwa chawa na kuumiza wengine, Mungu atawafuta watanzania wanaoteswa na serikali dhalimu machozi,
  14. J

    JamiiForums Tanzania Nitasimama na Rais Samia hata ikibidi kufa kwa ajili ya kumlinda na kumtetea. Sitakubali Mtu amhujumu

    Kufa kwa ajili ya familia yako, unatafuta uteuzi kwa njia ya kinafiki na kijinga sana wewe Lukas,
  15. J

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Juma: Baada ya Ripoti Kutoka, tumepokea simu za matusi zaidi ya 300

    Nemo judex in causa sua Meaning: Nemo judex in causa sua is a legal phrase that means "No one can be a judge in their own case." It asserts that a person should not have a role in adjudicating a case in which they have a personal interest. Explanation: This principle is crucial to prevent bias...
Back
Top Bottom