Leo mnakuja maneno ya kuvaa viatu.........
Hivi mnaifahamu historia ya Nchi ilikotoka hadi kufika hapa ilipo pamoja na kejeli zenu nyingi !!!!!
Walioipigania nchi hii kwa mali na hali kiasi cha ndg zao kupoteza maisha wametulia wanawaangalia mkijitapa kuwa mnao uchungu, uchungu upi............
Bado sijaona uchungu na uwezo wako wa kufikiri zaidi ya kukaririshwa maneno kama KASUKU.
Tajeni alichokifanya RC ,mnabaki kutoka povu. Rc alikaribishwa na Wahusika sasa kosa lake nini linalokufanya uwe na UCHUNGU !!!!!
Hawana hata chembe ya historia ya Watanzania walikotoka. Wangekuwa na uchungu wasingetaka sera ya USHOGA, kweli hawa matapeli wa kisiasa wanawatakia mema WATANZANIA ????
Wewe Cecy acha mboyoya........ onyesha mahali ambapo au neno alilotumia RC la kudhalilisha !
Katika barua aliyoandikiwa Mkuu wa Mkoa ,hakuna mahali inamtaja Lema . Inakuwaje MTU anataka kumuwekea mwenzie maneno MDOMONI kwamba alitakiwa amtaje Mbunge.
Jifunzeni kuwa WASTARABU kwani Lema...
Nteghenjwa Hosseah - Arusha
UGONJWA WA KUTISHA WAUA WATU 21 NGORONGORO
Wananchi wa Kata Pinyinyi, Wilaya ya Ngorongoro wanasumbuliwa na ugonjwa wa ajabu wa kutapika damu kwa takribani miaka minne sasa na hali hii imewasababisha wananchi hao kuwa na hofu na kukosa amani ya kuendelea kuishi...
Mtoa hoja inaonekana una agenda ya siri.
1:- Hakuna Baraza la Madiwani lililokaa ( upotoshaji)
2:- Fedha mil 500 ,zilitengwa kwa Jengo LA Utawala Kaliua zitoke Serekali Kuu
bajeti ya 2015/2016 na mpaka leo hazijapokelewa
3:-Mweka Hazina na Afisa Manunuzi walivuliwa madaraka kwa sababu...
Duuuu.......kuna watu wameshikiliwa AKILI !
Anatoka na mada ambayo kwa ufinyu wa akili yake anaona ina mashiko ,kumbe siyo lolote ni sawa na pumba tu.
Changanua jambo kwanza kabla ya kulisambaza,usije onekana KILAZA
Nimekua najiuliza sana,Huyu Mungu ni mwenye upendo kiasi gani,mbona huwakumbuka watu wake wakati muafaka wamuitapo?Magufuli,amefanya mambo makubwa ndani ya miezi 9 tu,
1. Elimu bure
2. Kila mwanafunzi anakalia dawati
3. Amefufua shirika la ndege ATCL, amenunua ndege 3
4. Ameanzisha mahakama...
Huko ndiyo kukiri kwenyewe huko !
Wakudadavua, uko makini. Wako watu waliozoea kukaririshwa maneno ,bila kuzingatia hoja .
Wao kila litakalosemwa,ni kupinga tu [emoji102]
Duuu.......ni hatareeeee.
Wako kimaslahi zaidi sababu hata waliowawekea dhamana ni wananchi wa kawaida tena WAWILI TU !
Sasa unajiuliza wote 33,wameacha Baraza halafu wakaenda kujianika Mahakamani ili iweje.
Aibu ,acheni KUKARIRISHWA MAMBO KAMA KASUKU .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.