Kaka mtatiro maneno yako yemeenda shule na anayeweza kipinga asitoe maneno ya kashfa tu aje na hoja. Nakupongeza kwa uchambuzi wako. Kwasasa kujadili mtanda ambao kwa bahati nzuri watanzania wengi tunaufahamu na ulivyohusika kujenga watu na kubomoa wengine hatuwezi kubishia ukweli ulioubainisha...
Naomba juongezea ... walimu wanahitaji kuwa na chombo kimoja cha ajira na huduma kwa walimu na amcho ndicho kitakachokuwa kinalipa mishahara na marupurupu mengine. Walimu wanahitaji nyumba za kuishi. Walimu na wanafunzi wenye ulemavu wa aina mbalinbali wanahitaji kuporeshewa miundonbinu muafaka...
Watu wana tumaini na basha sha kubwa mioyoni mwao na wamejawa na imani na siasa hizi ambazo zinawapa matumaini. Kwasasa watu wengi wanaamini kuwepo mabadiliko ni jambo lenye tija kwao. Jambo la kusisita ni kuwepo kwa amani wakati mabadiliko yanatokea kwakuwa historia haiseme vyema kuhusu uwepo...
Duh mapenzi ya kiasi hiki kwa Mgombea wa CHADEMA ni finbo ya kuwapigia CCM ...nilishuhudia wakati wa hotuba watu wakilia kwa uchungu nilipomuuliza mmojawao akanambia kuwa moyo unazizima kwa furaha hadi kutoa machozi.
Nadhani si vyema kuilaumu ITV kwasababu tu imechambua kwa undani yaliyojiri kwenye kura za maoni na hasa kuhusu tuhuma za rushwa. Waliobainisha tuhuma hizo ni Takukuru na walikuwa wanafanya kazi yao kulingana na maadili ya kazi hiyo. Kazi ya chombo cha habari ni kuonesha yanayojiri kwa misingi...
Tunakutakia maisha marefu katika tasnia hii ya Muziki na tunakuonga pia uongeze nguvu katika kuwasaidia wale wenye mahitaji maalum kwakuwa wewe ni kielelezo cha vijana wa Tanzania Afrika Mashariki na kwa Afrika. Tuko pamoja nawe leo,kesho na kwa maisha yote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.