Recent content by jailos mrisho

  1. J

    Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

    Hivi kwa nini vijana wa zelesky ni mapopoma hivyo? Uzi upo kule nyie mnakuja kuanzisha takataka zingine humu..mood ebu toa hizi takataka..hatutaki dublication jf
  2. J

    Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

    Takataka hii imeandika uoze..mswahili alishashiba kisamvu na dagaa mchele..baas kutwa kucha ni kucheza vigoma tu! Wewe unasiri kuzid KGB wewe! Ebu tuondolee bangi za msovera hapa.
  3. J

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mburula..hujui bakimutii imekwendraa?? Nakuonea huruma sana kwenye hii battle mjomba...
  4. J

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mburula..umehamia kwenye F16 sasa hv..umeachana na patriot!! Panya ni panya tu hachagui shimo kwa kweli
  5. J

    Dark days 17/03/20

    Kijana ww bado mdogo sana..haya mambo ni mazito..nikuombe uende kwenye ule uzi wa kula kimasihara au chit chart...humu ni pagumu sana mdogo wangu..please adhere to my advice...
  6. J

    Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

    Nasikitika kwanza kukusingizia ukatoliki..basi nakuondoa kwenye ukatoliki nakuweka kwenye upagani kabisaa..yaan unaaingiza mambo ya meditation kwenye ukristo! Wakatoliki hawako hivyoo.meditation is all about paganism..hinduism..toka huko kijana MUNGU WA KWELI HAWEKEWI MIPAKA..watu wa rohoni...
  7. J

    Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

    Huelewi nilikiandika mjomba! Rudi kasome kwa padiri wako...nimekupa mifano ya watu kuona maono ya mbinguni...lakini pia wapo watu kama kina daniel tena wengi tuu...shida yako na wenzako mmepigwa upofu japo mnaona.
  8. J

    Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

    Wewe utakuwa ni mkatoliki..watu msiosoma biblia..nenda kasome kitabu cha danieli..nenda kasome ufunuo..hao wote walifika na kuoneshwaa maono mbalimbali..shida yenu hamuani katika uweza wa MUNGU..nyie mmekalia ekaristi tuu..na ishara za misalaba na masanamu yenu madhabahuni..unapsawa kujua nini...
  9. J

    Kanisa la 'Roman Catholic' linaipotosha Pasaka

    Ni kweli pasaka ilikuwepo tangu Yesu hajazaliwa..pasaka ilikuwa inaadhimishwaa na wayahudi kukumbuka siku waliotoka utumwani..siku ya ukombozi wao toka misri. Kwa nini wakristo tunasherekea pasaka ya leo? Tunasherekea kwa sababu YESU alifufuka akashinda kifo hivyo tukapata ukombozi wa dhambi...
  10. J

    Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

    Lol! Tela ww sijui kilewella kule unapigwaa na facts na majempe ya putin had kamasi zakutoka...we baki humu humu ndo kunakufaaa kule tuachie sie majemedari wa moscow
  11. J

    Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

    Hahaaha..blazaaa mmkembia mmeona bwana figaniga haja jipyaaa..huku anapost mrusi anapigwa mkienda kwenye reality mnaona teja zele anachapwaaa...ila sio issue huku mnapata faraja
  12. J

    Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

    Alaf wenzako wamekukimbia wote uko mwenyewe kama teja kwenye huu uzi mjombaa
  13. J

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Haya ndo matatizo ya mwanaume kumvulia mwamaume mwenzake! Kiswahili chenyewe shida...mpangilio wa sentensi shida..aisee watu kama nyie ni wakupigwa shaba tu.
  14. J

    Urusi inavyonyanyasa ulinzi wa anga wa Marekani nchini Ukraine uitwao Patriot Air Defense System

    We nae ni mpuuzi puuzi tuu..huna unalojua...hufai hata kwenda veta..wewe rudi secondary kabisa mana hata uandishi wako unatia kichefuchefu.. kama USA anajiamini kwa nini asipeleke tako pale ukraine mazima..mbona anaiba iba na hao NATO.
  15. J

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Himars ww n mmoja wetu..sema ndo hvyoo tuu..unamuogopa kipanyaaa ikiwa utajionyesha waz upande wako...
Back
Top Bottom