Mimi nimewahi jiuliza magorofa kama yale stand kwa ajili ya kazi gani?!stand na magorofa wap na wap nikabid nkae kimya mana dunia ina mengi nisije banwa pmb na plaiz bure
Asa wew utakaaje kizembe na wakat upo vitani ?!hio ndio inafaa sasa ukimuacha mna watoto na ukimuacha ataliwa na mwamba had jamaa achike ndio atakuja kulia wew ishi nae hivo uone atakonda kumbe wew huna time nae
Kaka sheria mbaya sana asee ogopa hio labda asitake akisogea tuh ustaw hata kwa mbal bas umeisha nusu kwa nusu mzee tena sahiz de gwajima anajibu na kureply mesej Twitter bas kwisha habri yako labda ukaloge
Haka ka mama kameolewa na kilema nn😅😅kanazan rahis kumpiga mwanaume hawajui kua mwanaume akipigwa na mwanamke n huruma tuh ila seriously mwaaume anawez kuua mwanamke second chache sana asee hawa viumbe bwana wanazan nn sjui qsa ajichanganye aone siku moja hata alonae atakavomsaidia israel kaz
Wew chapa kizungu ila saliti unapigwa na hamna kitu utafanya mess mess who mess first?!na unazirai na unajitibia na ukleta jeur hata kunigusa nkikupiga bas watotoatabak hawana mama wala baba nakuua hapo hapo kikatili sana usifikr n masihara asee onea watoto mm nakuua wallahi mwananke hawez...
Ukimfukuza anaondoka na mali mkuu wew ishi nae kama kaka na dada tuh atakimbia mwenyew na talaka usitoe ila pina DNA then usiwah mla tena atakimbia mwenyew na kisheria utakua na nguvu mana utagoma hatuja achana kakimbia mwenyew
A moment ago
New
Add bookmark
#18
Hahahah usimwambie chochote wala haikutakiwa kumpiga ungesema tuh duuh asante then chukua watoto kapime DNA then tulia na hakikisha umepata dawa ya kuzuia limbwata uwe waila kila siku then usifanye chochote na usiwah muomba mechi wew tulia na uwe fresh tuh ishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.