Recent content by Jahace

  1. Jahace

    Mobile App

    Android au ios?
  2. Jahace

    Tunatengeza android applications

    if you think education is expensive try ignorance
  3. Jahace

    Tunatengeza android applications

    we ulitaka tuseme $0,nilichogundua uko mtandaoni kupiga majungu tu hamna la maana unafanya zaidi ya kutaka kuomba hela bila kufanya kazi na kudhani siwezi kua na $400. you are so NEGATIVE if you think education is expensive try ignorance
  4. Jahace

    Tunatengeza android applications

    Nimeshakucheki mkuu
  5. Jahace

    Tunatengeza android applications

    Mkuu kwa sasa hatujaweka app yoyote playstore ila bei itakua around $400 kutokana na requirements zako. Karibu
  6. Jahace

    Tunatengeza android applications

    Mkuu hiyo hatutengenezi. Karibu kwa app zingine
  7. Jahace

    Tunatengeza android applications

    Inawezekana mkuu nicheki tupige kazi
  8. Jahace

    Tunatengeza android applications

    website ni tofauti na admin panel. website ni kwa ajili ya presentation ya contents ila admin panel ndio sehemu ya kuandaa hizo contents
  9. Jahace

    Tunatengeza android applications

    nimeshindwa kuelewa unachomaanisha, maelezo zaidi tafadhali
  10. Jahace

    Tunatengeza android applications

    ni vigumu kukutajia bei kamili kwa sababu hatujui hiyo social network unayohitaji itakua na modules/functions gani.
  11. Jahace

    Tunatengeza android applications

    Habari wanajamvi napenda kuwakaribisha wote wanaohitaji android app kwa ajili ya kampuni,biashara au kwa mahitaji binafsi. Tunatengeneza app ambazo ni: 1. simple & Clean Interface - muonekano mzuri na wa kuvutia. 2. Complex & Logical design - app yenye uwezo wa kufanya hesabu au maamuzi...
  12. Jahace

    Natambulisha programu ya kukata tiketi ya basi mtandaoni

    tumeweka safari chache ndio maana kuna tarehe basi liko moja tu sio kwamba tunamchagulia abiria basi, pia mtu akichagua kutoka dsm na kwenda dsm hii itakua Invalid Route na hatopata basi
  13. Jahace

    Natambulisha programu ya kukata tiketi ya basi mtandaoni

    bado hii system ni ya demo ndio maana kuna mikoa michache ila ikikamilika tutaweka mikoa yote ni pia picha zingine za mabasi
  14. Jahace

    Natambulisha programu ya kukata tiketi ya basi mtandaoni

    hilo unalosema siwezi kujua kwa kweli mi nimesoma computer science maswala ya marketing ni ngumu kujua
  15. Jahace

    Natambulisha programu ya kukata tiketi ya basi mtandaoni

    mbona siku ,muda, nauli na aina ya kampuni vyote vipo. ungetembelea kwanza system. Pia kuhusu programu ya cargo inawezekana kutengeneza ni muda ndio unahitajika
Back
Top Bottom