we ulitaka tuseme $0,nilichogundua uko mtandaoni kupiga majungu tu hamna la maana unafanya zaidi ya kutaka kuomba hela bila kufanya kazi na kudhani siwezi kua na $400. you are so NEGATIVE
if you think education is expensive try ignorance
Habari wanajamvi napenda kuwakaribisha wote wanaohitaji android app kwa ajili ya kampuni,biashara au kwa mahitaji binafsi.
Tunatengeneza app ambazo ni:
1. simple & Clean Interface - muonekano mzuri na wa kuvutia.
2. Complex & Logical design - app yenye uwezo wa kufanya hesabu au maamuzi...
tumeweka safari chache ndio maana kuna tarehe basi liko moja tu sio kwamba tunamchagulia abiria basi, pia mtu akichagua kutoka dsm na kwenda dsm hii itakua Invalid Route na hatopata basi
mbona siku ,muda, nauli na aina ya kampuni vyote vipo. ungetembelea kwanza system. Pia kuhusu programu ya cargo inawezekana kutengeneza ni muda ndio unahitajika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.