Mi nawasikitikia waliompigia kura mpaka akashinda ubunge wako kama yeye au wao ndio wamemuona Lusinde ndio nafuu kuliko wao hiyo wilaya kama hamna hospitali ya vichaa inabidi ijengwe hospitali ya vichaa haraka serikali isifanye mdhaa na jambo hili.
Hamna kupinga uchaguzi urudiwe LEMA agombee tena tuone CCM kama watashindwa halafu serikali inapata faida gani kama sio hasara ya kugharamia uchaguzi ambao hauna faida maana hata kama kusoma hujui lakini picha huwezi kushindwa kuona hapa nadhani mmenielewa ARUSHA ni LEMA na LEMA ni ARUSHA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.