Recent content by jah60

  1. J

    Lusinde ajitetea, asema alipitiwa na jazba; Alaumu siasa za kampeni

    Mi nawasikitikia waliompigia kura mpaka akashinda ubunge wako kama yeye au wao ndio wamemuona Lusinde ndio nafuu kuliko wao hiyo wilaya kama hamna hospitali ya vichaa inabidi ijengwe hospitali ya vichaa haraka serikali isifanye mdhaa na jambo hili.
  2. J

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    Hamna kupinga uchaguzi urudiwe LEMA agombee tena tuone CCM kama watashindwa halafu serikali inapata faida gani kama sio hasara ya kugharamia uchaguzi ambao hauna faida maana hata kama kusoma hujui lakini picha huwezi kushindwa kuona hapa nadhani mmenielewa ARUSHA ni LEMA na LEMA ni ARUSHA.
Back
Top Bottom