Recent content by jagular

  1. jagular

    Hivi ile hela iliyoibwa Polisi ya "Kufa na Kuzikana" ndio Vicoba aliyosema Lema kuwa ni Umaskini?

    Mbwa kala mbwa....over and out"" Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
  2. jagular

    Paul Makonda, Ole Sabaya, Polepole nawatabiria kuwa viongozi wakubwa baadae wa nchi hii

    Ni mbinguni tu ndio haki itapatikana na wala sio duniani..... Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
  3. jagular

    TANZIA Muimbaji mkongwe wa nyimbo za Kimasai, Ole Pakuo afariki dunia.

    Wilaya ya monduli na Leopard tours arusha poleni sana kwa msiba wa Emmanuel ole Naiko Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
  4. jagular

    Asanteni Radio One, Watangazaji Bora Afrika Farhia Middle na Abubakary Sadick kwa Kuniheshimisha na Kuuheshimisha Mtandao wa JamiiForums leo

    Basi tufunge mjadala Abubakar sadik, anafaa ila waskilizaji na wafuatiliaji wa hichi kipindi wataendelea kupungua hapo ndipo management ya radio one itazinduka Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
  5. jagular

    Boss wa Leopard tours ajikuta akiropoka jinsi alivyomsaidia mhalifu

    Wafanyakazi wa kiwanda cha pepsi wamelalamika basi hata hawa wa leopard tours waliofungwa midomo wakumbukwe Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
  6. jagular

    Asanteni Radio One, Watangazaji Bora Afrika Farhia Middle na Abubakary Sadick kwa Kuniheshimisha na Kuuheshimisha Mtandao wa JamiiForums leo

    Kipindi ni kizuri ila abubakari sadiki hakiwezi, naona hata Farhia amegundua huyu kijana ni mswahili anadakiadakia maneno wakati mwingine farhia anaongea cha maana anadakiadakia tu, hiki kipindi Mwaipaya ndo alichokiweza, kama kuna uwezekano wajaribu kutafuta mtu mwingine ashirikiane na Farhia...
  7. jagular

    Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

    Suleiman karatu/arusha Sabena mbulu/arusha
  8. jagular

    Ongezeko la joto nchini, picha ya Mlima Kilimanjaro leo

    Theluji ,saruji ndio nini? Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
  9. jagular

    Arusha imekuwa safi baada ya vibanda kuondolewa barabarani

    Ubaya hawa jamaa wanabomoa mpaka nyumba za watu sio vibanda vya wamachinga tu, mapaa na mabaraza mengi yamebomelewa Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
  10. jagular

    Anayefanya kazi Maktaba ya Muziki TBC 1 achunguzwe

    Hata radio one kila siku kuanzia saa 8 usiku nyimbo hizo hizo wanarudia kila siku Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
  11. jagular

    Arusha imekuwa safi baada ya vibanda kuondolewa barabarani

    Arusha kweli tulikuwa tunateseka vibanda vilikuwa kila kona mpaka wapita miguu tunapata shida lakini sasa hivi jiji limekuwa safi, tunashukuru vibanda vimeondoka vilivyokuwa pembezoni mwa barabara na kuzuia shughuli za kibianadamu na miundo mbinu. Hongera jiji la Arusha kwa kazi nzuri chini ya...
  12. jagular

    Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

    Hapa ndo nasema Iddi Amin alikuwa mwanaume wa kweli Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
  13. jagular

    Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

    Iddi amin ni kiboko ya hawa maharamia. Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
  14. jagular

    Arusha: Mji ulioshindikana kwa watu kula 'bata' hapa Tanzania

    Arusha huwezi ongelea kiti moto bila kwenda sarafina kaloleni hao jamaa ni wataalamu wa kumtengeneza mdudu Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
  15. jagular

    Kwanini Mo 'hatamuweza'Manara

    Hamisi kingwangala aliwaambia kila kitu kuhusu mo.dewji mkambeza....jamani wahindi sio watu kaeni mkijua #leopard tours arusha mfano hai Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom