Recent content by jagire

  1. J

    Ushauri wa bure kwa Dr Mwakyembe, achana kabisa na katiba mpya

    Subiri wakishakuharibikiwa na magufuli kuanza kupuuzwa na wanainchi ndipo watakapo kumbuka ushauri wako.
  2. J

    Nape Nnauye: Nchi ilifika pagumu, tumuombee Magufuli

    Tutamuombea ikiwa atashugulika na vyongozi wakisiasa ambao wanagusua na ufisadi. a.k.a jk na team yake. hapo maombi yatafika lakini aonee waliokuwa wanapewa maagizo. alafu aache waliokuwakitoa maagizo alafu tumwombee.
  3. J

    CCM wasaidieni Bongo movie

    walishindwa kujua kuwa wanapoonyesha upenzi kwa chama cha siasa hukondiko kujimaliza. nyimbo zote zilizogeuzwa za kusifia ccm uchaguzi wa 2010. asilimia kubwa ya wsanii waliokubali nyimbo zao kutumiwa na ccm wamekuwa choka mbaya. mimi hizo takataka za bongo muv. siitaji kuona kwangu hata za...
  4. J

    CHADEMA Kumuondoa Lema Arusha

    ungetaka mwakilishi sahihi ungeanzia kuiondoa ccm. kuanzia mkulu mpaka ten house.
  5. J

    CHADEMA Kumuondoa Lema Arusha

    kwa taarifa tu. arusha hakuna maendeleo zaidi tunayotaka. lema afanye asifanye. tayari arusha kuna lami karibia mitaa yote maji shule zenye maabara umeme mahosipitali hoteli nyingi za kitalii. arusha ndio jiji linaloongoza kwa urahisi wa kupata hela. hakuna tunachoitaji arusha zaidi ya kulinda...
  6. J

    kituo cha polisi mirerani kimejaa ukandamizaji wa haki za mahabusu tunaomba mamlaka husika ichunguze

    ocs wa kituo cha polisi mirerani apime kama anasimamia kwa weledi kazi yake ya ukuu wakituo. make kumekuwa na ukandamizaji wa maabusu mtu anaweza kukaa maabusu bila kufikishwa mahakamani zaidi ya siku tatu kinyume na sheria. vile vile kukataa kutoa zamana kwa kesi zenye zamana kwa ajili ya...
  7. J

    Ndoto za Alinacha za Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki

    sema ukweli ndio naanza kuamini maneno ya mwenyekiti mbowe. kuwa kilichopo kati ya kenya na tanzania ni wivu wa kimaendeleo na si vinginevyo.
Back
Top Bottom