Wana Jamii forums naomba kwa ambae ana uelewa au kwa ambae amewahi kufanya hii biashara ya kukamua mafuta ya alizeti, nahitaji kujua machine zinazitumika kukamua, bei zake kama kunae anaejua,lakini pia uwezo wa uzalishaji, package na masoko yalivyo
Naomba kama kuna mtu humu ambae anajishughulisha na Utotoleshaji wa vifaranga wa kuku wa kisasa wa mayai Ama mtu anaemfahamu wakala yeyote Anajishughulisha na hao vifaranga, nina shida nao.
Naomba Msaada kwa hilo.
Mawasiliano hangu: 0766517936
Naomba kuuliza wana JamiiForums,
Hivi ni maeneo gani mpaka sasa kwa mikoa inayolima Mpunga kwa mfano Songea ni Maeneo yapi mashamba ya mpunga bado yanakodishwa au kuuzwa kwa bei ya chini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.