Sumaye alikuwa hajajiunga ukawa wakati huo, kwa hiyo ni uongo kusema Lowassa alikuwa na mpango wa kumteua Sumaye kuwa waziri mkuu. Hata hivyo mbona awamu ya 3 waziri mkuu na waziri wa fedha walitokea ukanda huo?
Mimi siyo mshabiki wa upande wowote, ila mpaka sasa sijapata sababu ya kutompgia Lowassa kura yangu. Kila anayesema Lowassa fisadi hasemi ufisadi wake ni nini zaidi ya kusema RICHMOND. Kuhusu Richmond inaeleweka alitubebea msalaba lakini wasiyo na akili wakamuita fisadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.