Recent content by Jacobus

  1. Jacobus

    Hivi kandanda ni nini?

    Sasa hivi Azam Sports 3 waeandika 1600-1800 Kandanda mbashara lakini wanaonesha mashindano ya 'basketball' ya CRDB kombe la Taifa. Mie nachofahamu kandanda ni mpira wa miguu au soka au 'football'. Sasa tusaidiane kama hiyo 'basketball' nayo ni kandanda.
  2. Jacobus

    Radio za Dar hazisikiki Tabora. Kunani?

    Mtihani, sijui TCRA wapo kazini au!?
  3. Jacobus

    Msaada, chaneli inayoonesha "Top 20" ya muziki Startimes

    Kwanza napenda niwapongeze 'Startimes' kwa kuiondosha kabisa chaneli namba 322 kwenye king'amuzi chao ambayo ilifahamika kwa St SA Music na kubadilishwa kusomeka St Kasi Music. Chaneli hii ilikuwa burudani tosha kwa wale wapenda muziki hasa wa Afrika Kusini na siku ya jumamosi walikuwa na...
  4. Jacobus

    Radio za Dar hazisikiki Tabora. Kunani?

    Ilianza Wasafi FM 94.5 tokea mwaka jana, ikaja East Africa Radio 105.2 hii yapata kama mwezi hivi, imefuatiwa na Clouds FM 88.0 na E FM 93.7 hizi ni wiki hii na inayokatakata kwa sasa ni Radio Maria 93.7. Radio Free Africa ya Mwanza 90.0 yenyewe mvua ikinyesha tu inapotea, sijui mtambo wake...
  5. Jacobus

    TTCL kero hii itaisha lini?

    Ukweli sasa ni tatizo tena kubwa sana. Jana, nimetafuta wakala ili niweke pesa kwenye cm na kununua kifurushi cha king'amuzi cha Startimes, nimezurura Tabora mjini wengi hawana huduma ya T-pesa na baadhi hawaifahamu. Nikaelekezwa na mfanyakazi mmoja mstaafu wa TTCL nikafanikiwa. Mida ya saa...
  6. Jacobus

    TTCL kero hii itaisha lini?

    TTCL (Shiriki la mawasiliano la Tanzania) leo ni mara ya nne nakatwa pesa kila niingizapo vocha kwenye simu. Mie huweka vocha tatu za shs 1,000/= ili nijiunge na kifurushi, cha ajabu naweka vocha ya kwanza haikatwi ya pili inakatwa ya tatu haikatwi. Mara ya tatu usiku nilijaribu kununua bando...
  7. Jacobus

    TTCL kero hii itaisha lini?

    TTCL (Shiriki la mawasiliano la Tanzania) leo ni mara ya nne nakatwa pesa kila niingizapo vocha kwenye simu. Mie huweka vocha tatu za shs 1,000/= ili nijiunge na kifurushi, cha ajabu naweka vocha ya kwanza haikatwi ya pili inakatwa ya tatu haikatwi. Mara ya tatu usiku nilijaribu kununua bando...
  8. Jacobus

    Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024

    Hawa, pamoja na kwamba kiafya nyuki watatu wakikudunga ni TIBA, wakumbuke kilichoipata timu ya IHEFU. Baada ya kutambua kuifunga Yanga kila msimu hatimai haipo katika Ulimwengu wa soka.
  9. Jacobus

    Azam Media aibu tupu. Watangazaji wake lugha ya Kiingereza ni sifuri, wanatia aibu Taifa la Tanzania

    Juzi nilifadhaika mno kusoma walichokiandika kuhusiana na mtemi MILAMBO. Wao wakaandika Mirambo. Aibu.
  10. Jacobus

    Bodi ya mkopo elimu ya juu mwaka ujao nilipe tena?

    Oh! Shukran kwa kunielewesha mkuu.
  11. Jacobus

    Startimes kuna nini?

    Wiki ya nne sasa chaneli 322, St Kassi Music, haipo hewani. Waliiondoa kabisa ila nilipowapigia na kulalamika wakairejesha isomeke tu lakini haifanyi kazi. Jana kifurushi kimeisha, nikatuma pesa kupitia T-pesa bila mafanikio kwa maana upande wa 'Startimes'. Pesa imerejeshwa. Leo nimewasiliana na...
  12. Jacobus

    Bodi ya mkopo elimu ya juu mwaka ujao nilipe tena?

    June? Mbona matokeo ya kidato cha sita yalitoka July au!
  13. Jacobus

    Bodi ya mkopo elimu ya juu mwaka ujao nilipe tena?

    Kwenye gazeti la leo la Mwana Habari pana habari inayosemeka 'Rais Samia apeleka kicheko elimu ya juu'. Habari hii inahusu mikopo kwa wanafunzi wa vyuo. Kwa kweli nimefadhaika mno kwani niña binti ambae kateuliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salamm (UDSM) kwa mwaka wa kwanza. Tarehe 4/09 nililipa...
  14. Jacobus

    Azam kufungua kesi,TFF kuipokonya Sumba magoli mawili ya offside na alama tatu

    Azam tulichokibakisha ni kuhamia rasmi ZFF. Kwa kuwa tumefanikiwa kurekebisha kanuni ili tucheze me hi za TFF kuchezwa Unguja basi tushinikize itungwe kanuni iruhusu timu ya vara icheze ligi ya ZFF.
Back
Top Bottom