Sasa hivi Azam Sports 3 waeandika 1600-1800 Kandanda mbashara lakini wanaonesha mashindano ya 'basketball' ya CRDB kombe la Taifa.
Mie nachofahamu kandanda ni mpira wa miguu au soka au 'football'.
Sasa tusaidiane kama hiyo 'basketball' nayo ni kandanda.
Kwanza napenda niwapongeze 'Startimes' kwa kuiondosha kabisa chaneli namba 322 kwenye king'amuzi chao ambayo ilifahamika kwa St SA Music na kubadilishwa kusomeka St Kasi Music.
Chaneli hii ilikuwa burudani tosha kwa wale wapenda muziki hasa wa Afrika Kusini na siku ya jumamosi walikuwa na...
Ilianza Wasafi FM 94.5 tokea mwaka jana, ikaja East Africa Radio 105.2 hii yapata kama mwezi hivi, imefuatiwa na Clouds FM 88.0 na E FM 93.7 hizi ni wiki hii na inayokatakata kwa sasa ni Radio Maria 93.7.
Radio Free Africa ya Mwanza 90.0 yenyewe mvua ikinyesha tu inapotea, sijui mtambo wake...
Ukweli sasa ni tatizo tena kubwa sana.
Jana, nimetafuta wakala ili niweke pesa kwenye cm na kununua kifurushi cha king'amuzi cha Startimes, nimezurura Tabora mjini wengi hawana huduma ya T-pesa na baadhi hawaifahamu.
Nikaelekezwa na mfanyakazi mmoja mstaafu wa TTCL nikafanikiwa. Mida ya saa...
TTCL (Shiriki la mawasiliano la Tanzania) leo ni mara ya nne nakatwa pesa kila niingizapo vocha kwenye simu.
Mie huweka vocha tatu za shs 1,000/= ili nijiunge na kifurushi, cha ajabu naweka vocha ya kwanza haikatwi ya pili inakatwa ya tatu haikatwi.
Mara ya tatu usiku nilijaribu kununua bando...
TTCL (Shiriki la mawasiliano la Tanzania) leo ni mara ya nne nakatwa pesa kila niingizapo vocha kwenye simu.
Mie huweka vocha tatu za shs 1,000/= ili nijiunge na kifurushi, cha ajabu naweka vocha ya kwanza haikatwi ya pili inakatwa ya tatu haikatwi.
Mara ya tatu usiku nilijaribu kununua bando...
Hawa, pamoja na kwamba kiafya nyuki watatu wakikudunga ni TIBA, wakumbuke kilichoipata timu ya IHEFU. Baada ya kutambua kuifunga Yanga kila msimu hatimai haipo katika Ulimwengu wa soka.
Wiki ya nne sasa chaneli 322, St Kassi Music, haipo hewani.
Waliiondoa kabisa ila nilipowapigia na kulalamika wakairejesha isomeke tu lakini haifanyi kazi.
Jana kifurushi kimeisha, nikatuma pesa kupitia T-pesa bila mafanikio kwa maana upande wa 'Startimes'. Pesa imerejeshwa. Leo nimewasiliana na...
Kwenye gazeti la leo la Mwana Habari pana habari inayosemeka 'Rais Samia apeleka kicheko elimu ya juu'.
Habari hii inahusu mikopo kwa wanafunzi wa vyuo.
Kwa kweli nimefadhaika mno kwani niña binti ambae kateuliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salamm (UDSM) kwa mwaka wa kwanza.
Tarehe 4/09 nililipa...
Azam tulichokibakisha ni kuhamia rasmi ZFF.
Kwa kuwa tumefanikiwa kurekebisha kanuni ili tucheze me hi za TFF kuchezwa Unguja basi tushinikize itungwe kanuni iruhusu timu ya vara icheze ligi ya ZFF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.