Mimi hainiingii akilini kuwa mwanafunzi mwenye uwezo wa kupata A katika masomo yake yote hayo aliyoyafanyia mitihani isipokuwa Mathematics tu ndio apate F!na sidhani kama hayo kwel nimatokeo halisi ya mtu fulani labda angesema tu kuwa ni mfano hapo tungemuelewa!
Naomba msaada wenu wadau wa lugha mimi naishi dodoma nahitaji kujifunza lugha ya kingereza niijue vizuri kwa kuiandika na kuiongea!je ninani/mahali gani kwahapa dodoma naweza kupata msaada kwa hilo?
Nanilipofika chuoni kwenye mbao za matangazo yalikuwa yamebandikwa majina ya waliopata mkopo na tulitakiwa kuangalia sirio namba pamoja na page namba na jina langu lipo na nimepewa asilimia mia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.