Recent content by Jackson amoss

  1. J

    Ushawahi kulala njaa kwa kukosa pesa ya chakula? Ulifanyaje?

    malanyingi sana nalala njaa. Kiufupi sasahivi nakula mchana hadi kesho mchana tena. nachakula chenyewe sishibi cha mamá ntilie. naamini iposiku nitatimiza Milo mitatu bila shida amén.
  2. J

    Kweli kua uyaone! Natamani nirudishe siku nyuma nirekebishe nilipokosea ila siwezi

    Nilipo angalia majibu yangu ya kidato cha nne nililia sana nilipoona nimepata 4 kumbe kilio kile niliona mbali sana wakuu. Maisha yananichapa vibaya sana kulala njaa kwangu imekuwa jambo la kawaida. Inafika hatua naeanda kwenye mihangaiko wiki nzima siambulii chochote daah 😠. Natamani...
Back
Top Bottom