Hawa Frankfurt United leo inatakiwa wafungwe tena in style.
Gazzeti la Le Equippe limesema-Barca toka irudishe Tikitaka imeupiga mwingi-limeshauri watafute wachezaji sio kwa ustar bali kwa uwezo wa kumudu tikitaka. Limedai uwezo wa Xavi unaweza kumfanya mchezaji yoyote mwenye dna ya tikitaka...
Hawa Seville jana Mungu alikuwa nao-mpira unakataa kuingia nyavuni na pressure yote ile-ingekuwa kwetu usukumani lazima tungelivamia goal lao kuitoa hiyo hirizi:):):)
Le Equip-gazzet linaandika hawa Seville leo watacheza 11 nyuma ya mpira na kuvizia counter attack-limemshauri Xavi wing moja Traore,wing ingine Dembele ili watu wauane hapo kati
Leo saa 5 usiku sa ya Tanzania-inachezwa match ya Classico ya wanawake kombe la UEFA.Barcelona females watakuwa ugenini.Madrid females hawategemei kushinda sababu akina dada WA Barcelona hawajafungwa match 34.
Barca TV leo imemuonyesha Traore akipewa darasa maalum na Xavi-wakitumia stimulator...
Gazetti la El Mundo linadai kwamba wataalam wa soka walishasema Tiki taka imepitwa na wakati-ajabu ni kwamba Xavi ameirudisha to a devastating effect- Gazetti limeendelea kudai Tiki taka kwa sasa inachezwa na back na midfielders wa Barca tu sasa punde Tikitaka ikifika kwa strikers itakuwa taabu...
Magazeti ya Spain yanaandika hii midfield ya Barca kufikia msimu ujao itakuwa haikamatiki-yanadai midfield ya kina Iniesta inasukwa upya na Xavi-katikati Barca imekuwa mithili ya python inakunyima pumzi alaafu inakumeza mzimamzima. Yes Barca are back crisp passes pekee ni worth the entrance...
Barcelona tutashinda kama tutaweza umiliki mpira in the middle of the park-hapo kati tuki wa overwhelm Madrid we win-i have this gut feeling it is what we will do today- lets pray and hope for the best and at the end dance
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.