Wafanyabiashara wa mkoa wa Dodoma, wamelaani vikali hatua ya CHADEMA kufanya maandamano ambayo yameathiri shughuli zao za biashara kutokana na kufungwa kwa maduka na maeneo yao ya biashara.
Wakizungumza kwa jazba na hisia wafanyabiashara waliomba viongozi wa CHADEMA kuwa na huruma na wananchi...
Wafanyabiashara wa mkoa wa Dodoma, wamelaani vikali hatua ya Chadema kufanya maandamano ambayo yameathiri shughuli zao za biashara kutokana na kufungwa kwa maduka na maeneo yao ya biashara. Wakizungumza kwa jazba na hisia wafanyabiashara waliomba viongozi wa Chadema kuwa na huruma na wananchi wa...
Sisi ni vijana wasomi wazalendo kutoka vyuo vikuu mbalimbali vilivyoko Dar es Salaam, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM); Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU); Dar es salaam University College of Education (DUCE); USTAWI WA JAMII; Chuo Kikuu cha Mtakatifu John (St. John); Chuo cha Usimamizi wa Fedha...
Dodoma. Mwenyekiti wa Taasisi ya Demokrasia
Tanzania (TCD), John Cheyo amewavaa viongozi
wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa),
akieleza kuwa walichokubaliana katika kikao chao
na Rais Jakaya Kikwete ni kwamba Bunge
liahirishwe Oktoba 4 na si kama wanavyodai wakiwa nje.
Akizungumza bungeni...
Hivi ni Mara ngapi tumewasikia viongoziwa dini kutoka madhehebu fulani Wikitoa maoni Yao ambayo yalikua yanaunga mkono Au kutofautiana na ukawa ni dhambi?
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.