Recent content by jackito

  1. jackito

    Nauza mchele kutoka Kyela bei ni 1,700/= kwa kilo

    Hakuna shida Mkuu, nlutanipatia ujumbe kwenye namba hiyo hapo.
  2. jackito

    Nauza mchele kutoka Kyela bei ni 1,700/= kwa kilo

    PM boss au nitext kwa hiyo namba hapo
  3. jackito

    Nauza mchele kutoka Kyela bei ni 1,700/= kwa kilo

    Upo wapi nicheki PM nione Kama ntakufikia kwa urahisi
  4. jackito

    Nauza mchele kutoka Kyela bei ni 1,700/= kwa kilo

    Nauza Mchele Mzuri umenyooka na mtamu haswa, Wale wanaoujua wakyela wenyewe mtanielewa. Bei ni 1,700/= kwa kg 1. Tunakufikishia hadi mlangoni pako kwa walio nje ya mji tu ndo wanachangia usafiri, Order kuanzia 10kg. Tunapatikana DSM Kimara. 0753-853210
  5. jackito

    Wanawake mlioolewa: Angalieni mnapoleta wadogo wa kike nyumbani kwenu

    Mwanaume kashindwa kusimama kwenye nafasi yake kama mwanaume afu kaoa mwanamke uwezi wa kifikra mdogo, Wacha tu wasaidiane.
  6. jackito

    Mkopo wa haraka wa 400,000/= Unahitajika

    Angalia post ya 7 Mkuu nimevitaja
  7. jackito

    Mkopo wa haraka wa 400,000/= Unahitajika

    Kama unataka kusaidia wewe saidia bila kujali jinsia.
  8. jackito

    Mkopo wa haraka wa 400,000/= Unahitajika

    Mkuu ukiwa na shida lazima ukaze mkanda kukabiliana na yote.
  9. jackito

    Mkopo wa haraka wa 400,000/= Unahitajika

    Kama hatarudishiwa hela yake atavibeba, kabati, kitanda, friji na vinginevyo.
  10. jackito

    Mkopo wa haraka wa 400,000/= Unahitajika

    Salamu wakuu
  11. jackito

    Nahitaji limbwata nimuwekee mke wangu

    Limbwata pekee na hela tu na ujue kumkuna kitandani, ukiwa navyo hivyo viwili atakuwa wako kufa.
Back
Top Bottom